Ukifata ushauri wa humu unaweza usioe

Ukifata ushauri wa humu unaweza usioe

Kuna jamaa yangu alikuwa kila akipata demu anatuuliza, ivi munamwonaje, mzuri eee! Watu tunaitikia ndiyo, anafaa kuoa eeh, watu tunasema ndiyo. Wakiachana anatulaumu sisi.

Siku moja nimeshamchoka akaja na hizo hizo za kutuuliza, ikabidi nimwuulize "vipi ni mtamu? Kama vipi mlete tuonje ili tutoe majibu yakinifu." Jamaa alimind ila hakutuletea tena hizo habari.

Watu wanakuacha tu uingie chaka mwenyewe.

Hahaha..kweliii
 
Kuna people kazi yao kuponda kuwa kinyume na ukweli utasikia wanawake wa kuoa ni darasa la saba au form four eti wenye degree hawana unyenyekevu.

Watu wanaisupport tu. Utasikia wanawake wanene hawajui kukataa wanaume, mara wembamba ni michepuko, kuna vitu vingine ni ushamba eti kabila fulani hawajui mapenzi.

Naamini humu wasomi ni wengi so acheni hayo mnayoyafanya.

pole sana mkuu hapa sio mahari pa kupata maarifa wala ushauri wa kukujenga.
Bali hapa ni mahari kuchekeshana,kutiana hasira,na kudanganyana. Unaona kabisa sheria ya hapa inakutaka utumie jina feki na picha feki so unafikiri ushaur utakuwa hai?! Hapa kila kitu feki ni mambo ya kufikirika tu yaliyopo hapa.
 
pole sana mkuu hapa sio mahari pa kupata maarifa wala ushauri wa kukujenga.
Bali hapa ni mahari kuchekeshana,kutiana hasira,na kudanganyana. Unaona kabisa sheria ya hapa inakutaka utumie jina feki na picha feki so unafikiri ushaur utakuwa hai?! Hapa kila kitu feki ni mambo ya kufikirika tu yaliyopo hapa.

Ni sheria ipi hiyo inayokutaka wewe kutumia ID fake? Sheria hii haifanyi kazi kwa verified user? Mfano Ben saanane na William Malecela.
 
Hizo ni fikra zako tu but jf kuna watu makini wanaojua thread zilizo makini na zenyekuhitaji mawazo/ushauri makini.Sema tu kuna baadhi ya kenge wachache wasiojitambua ktk huu msafara wa Mamba
pole sana mkuu hapa sio mahari pa kupata maarifa wala ushauri wa kukujenga.
Bali hapa ni mahari kuchekeshana,kutiana hasira,na kudanganyana. Unaona kabisa sheria ya hapa inakutaka utumie jina feki na picha feki so unafikiri ushaur utakuwa hai?! Hapa kila kitu feki ni mambo ya kufikirika tu yaliyopo hapa.
 
Hahaha we si unaona alivyouwasilisha uzi?anaonekana nimiongoni mwa walee wakina DEMBA na tumboo waliotupiwa mawe gizani na Viol na MO11 yakawapata kisawasawa

Hahahaa...ila lile jiwe la Viol limetupiga wengi....wengine wamemezea tuuuu....
 
Last edited by a moderator:
Inabidi unipe kick ile style ya diamond kwa wema...nadhani ntapata likes na quotes za kutosha. Uko tayariiiiiii??? Huoni siku hizi Matola anavyoshine humu jamvini? Hahahaaaaaaaa
mkuu Matola hasafirii nyota ya mtu labda humfahamu toka mwanzoni,ana misimamo yake na huwa anawachana vilivyo waleta ----- humu,ndo maana haters wakawa wengi na ana-shine
 
Last edited by a moderator:
Ni sheria ipi hiyo inayokutaka wewe kutumia ID fake? Sheria hii haifanyi kazi kwa verified user? Mfano Ben saanane na William Malecela.

sasa kama ni mahari pa kujenga kwann waruhusu majina ya utan? Halafu mbona huleti mrejesho wa ile kesi
 
mkuu Matola hasafirii nyota ya mtu labda humfahamu toka mwanzoni,ana misimamo yake na huwa anawachana vilivyo waleta ----- humu,ndo maana haters wakawa wengi na ana-shine
Haya mkuu ....
Ila pia kale kalaralization process kameweka palizi nzuri...Nataka nimtumie miss chaggalization ili nipumulie hukoo kwenye hewa safi.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
jiulize kwanini twatumia vivuli...
 
Back
Top Bottom