Ukifata ushauri wa humu unaweza usioe

Ukifata ushauri wa humu unaweza usioe

mtu mke kakutana nae facebook, wakajuana zaidi tweeter, wakachat chat kwa bbm na kutumiana picha kwa skype et ushauri aje jf ha ha ha si bora akagoogle amalize kabisa
hapa story tu ushauri angazaaa

Kuna jamaa yangu alikuwa kila akipata demu anatuuliza, ivi munamwonaje, mzuri eee! Watu tunaitikia ndiyo, anafaa kuoa eeh, watu tunasema ndiyo. Wakiachana anatulaumu sisi.

Siku moja nimeshamchoka akaja na hizo hizo za kutuuliza, ikabidi nimwuulize "vipi ni mtamu? Kama vipi mlete tuonje ili tutoe majibu yakinifu." Jamaa alimind ila hakutuletea tena hizo habari.

Watu wanakuacha tu uingie chaka mwenyewe.
 
hapa tupo tunarusha kamba upotee tutakutafuta tukupe pole... MO11 njoo huku bwana
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Huaweiascend

Inabidi uelewe kitu kimoja kuhusu mkusanyiko wa watu, hata moderator wakiamua kuweka online test kuna watakao pata 0% na watakao pata 100% humu humuu. Tuna tofautiana sana uelewa na utashi... kila mmoja sababu kapewa uhuru wa kuongea anafanya analowaza.

Kuna watu wa aina mbalimbali humu ndani...

1. waongo na wanaojisifia
2. wakorofi na wasiosoma threads heading wao ni kukimbilia kusoma comments na kujibu hovyo.
3. Kuna malaika humu pia, hawa kila kitu kiovu hawajawahi kufanya.
4. Kuna watu wazuri pia wanashauri kutokana na uzoefu wao, hawa wako wachache sana.

Hivyo ukiomba msaada au ushauri wowote kubaliana na hali itakayokutokea, litakalo kufaa chukua lisilokufaa waachie moderators.
umeongea vyema.... umesahahu kuna wale kazi yao utani tu humu
 
umeongea vyema.... umesahahu kuna wale kazi yao utani tu humu
Hahaaa...na pia kuna watu wanashauri kwa kuangalia nani kaleta uzi. Ukiwa miss chagga hata ulete uzi wa hovyo utapewa ushirikiano wa kutosha ila sasa uwe kina dikembe hahahaaaa utaambiwa sijui kajifunze kuandiaka, sijui ndefu sana ........
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa...na pia kuna watu wanashauri kwa kuangalia nani kaleta uzi. Ukiwa miss chagga hata ulete uzi wa hovyo utapewa ushirikiano wa kutosha ila sasa uwe kina dikembe hahahaaaa utaambiwa sijui kajifunze kuandiaka, sijui ndefu sana ........

ha ha ha ha unajua unavituko wewe .... ni changamoto za hapa kuna kamati huku nyingi sana .....
 
ha ha ha ha unajua unavituko wewe .... ni changamoto za hapa kuna kamati huku nyingi sana .....
Inabidi unipe kick ile style ya diamond kwa wema...nadhani ntapata likes na quotes za kutosha. Uko tayariiiiiii??? Huoni siku hizi Matola anavyoshine humu jamvini? Hahahaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Inabidi unipe kick ile style ya diamond kwa wema...nadhani ntapata likes na quotes za kutosha. Uko tayariiiiiii??? Huoni siku hizi Matola anavyoshine humu jamvini? Hahahaaaaaaaa
usijali nitafanya kazi mpenzi wangu Matola anafujo humu atakuwa na urafiki na mods sa hivi ... Matola shemeji shikamoo
 
Last edited by a moderator:
Kuna people kazi yao kuponda kuwa kinyume na ukweli utasikia wanawake wa kuoa ni darasa la saba au form four eti wenye degree hawana unyenyekevu.

Watu wanaisupport tu. Utasikia wanawake wanene hawajui kukataa wanaume, mara wembamba ni michepuko, kuna vitu vingine ni ushamba eti kabila fulani hawajui mapenzi.

Naamini humu wasomi ni wengi so acheni hayo mnayoyafanya.

we are working on experiance .
kutoka level tulizotoka mpk leo hii mengi tumekumbana nayo na wengine mioyo imejaa ganzi. so ni tatizo mkuu
 
hapa tupo tunarusha kamba upotee tutakutafuta tukupe pole... MO11 njoo huku bwana

Kama kweli anataka ushauri na saha akawaone wataalamu sasa ukija huku utapewa ushauri wa kidaktari na kondakta na ukaukubali

Ila tutaendelea kuoa darasa la saba na 4m4 huu ni ukweli sio ushauri pumba
 
Last edited by a moderator:
Kama kweli anataka ushauri na saha akawaone wataalamu sasa ukija huku utapewa ushauri wa kidaktari na kondakta na ukaukubali

Ila tutaendelea kuoa darasa la saba na 4m4 huu ni ukweli sio ushauri pumba

Nakuvizia ujue mimi nimeishia darasa la nne.... nimesoma kisomo cha watu wazima
 
Sababu bado sijaoa siwezi pondea kitu mie nitakuwa msomaji tu
 
Above 30 at work
Kuna people kazi yao kuponda kuwa kinyume na ukweli utasikia wanawake wa kuoa ni darasa la saba au form four eti wenye degree hawana unyenyekevu.

Watu wanaisupport tu. Utasikia wanawake wanene hawajui kukataa wanaume, mara wembamba ni michepuko, kuna vitu vingine ni ushamba eti kabila fulani hawajui mapenzi.

Naamini humu wasomi ni wengi so acheni hayo mnayoyafanya.
 
Back
Top Bottom