We nawe unakurupuka...ujaona nmesema KUNA PPLE....
Mbona unamzeesha kigori huyoooo!!
kwa leo nakudharau na kukupotezea...
Sijabisha...
Utaishia kutoa povu bure, JF ni "brainstorm and mind flick control zone" na hii ndio sababu inaendelea kuwepo.
Chukua kinacho kufaa vingine acha humu humu.