Recent content by Havikujezwa

  1. Havikujezwa

    Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

    Tusubiri taarifa za uchunguzi, isijekuwa nae kajiua na kujiweka kwenyekiroba. maana bado hatujasahau ripoti ya uchunguzi ya mr Nondo.
  2. Havikujezwa

    Matajiri kumi wa dunia 2018 February na Forbes.com

    saidi salim bakhresaa mbona hayupo hapo. Huu utafiti ni feki
  3. Havikujezwa

    Wabongo kwanini tunapenda sana matofali?

    NA MI NASUBIRIA NIONE GHARAMA YAKE,
  4. Havikujezwa

    Wabongo kwanini tunapenda sana matofali?

    LAKINI MTU AKIRUSHA JIWE JE KIOO BADO KITAKUWA SALAMA KWA HIYO GRILL
  5. Havikujezwa

    Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

    SAWA. JE JAMTIN NA LILE KANISA PALE KAMA UNAELEKEA SARAFINA BAR, VIPI NA ZENYEWE. JE ZIMEVUNJWA?
  6. Havikujezwa

    Zanzibar: Mfanyabiashara Naushad Mohammed akamatwa na dhahabu kilo 8 na fedha za mataifa 15

    SAWA AMEKAMATWA, JE KOSA LAKE NI NINI?. AMEIBA HIZO DHAHABU AU NI MALI YAKE?. AMEKUTWA NA PESA ZA MATAIFA MBALIMBALI JE KAIBA AU NI ZAKE?. KWANI KUWA NA PESA TANZANIA NI KOSA? AU KUWA NA DHAHABU NI KOSA PIA!!!!????. MLETA TAARIFA TOA MAELEZO YA KUTOSHA.
  7. Havikujezwa

    Heshima daima kwako Hayati Mzee Ndesamburo. Tutakukumbuka daima

    HIZO SABABU ULIZOTOA NI ZAHOVYO KABISA, ILA SABABU ZA MSINGI UNAZIJUNA NA TUNAZIJUA PIA. HIVYO ACHA KUPOTOSHA UMMA.
  8. Havikujezwa

    Waziri mkuu Majaliwa atinga bandarini na kukuta magari 44 yakitaka kutolewa kwa kutumia jina lake

    Wana JF samahani, hivi hii series ipo episode ya ngapi? maana mi naona mauzauza . kila siku vululuvululu kila kiongozi anafanya yake na kuongea yake.
  9. Havikujezwa

    Kamanda Sirro na broken english

    umemuweza
  10. Havikujezwa

    Kamanda Sirro na broken english

    Ningefurahi sana kama ungemkosoa kwa kukosea kiswahili. lakini kwa lugha ambayo kafundishwa darasani sidhani kama ni sawa. japo hata hicho kiswahili si wote wanakifahamu vizuri.
  11. Havikujezwa

    Harrier vs forester subaru

    SIKU NYINGINE JARIBU KUTUMIA MANENO MAZURI KATIKA UANDISHI WAKO, WACHANGIAJI WAZURI WAPO ILA LUGHA ULIYOTUMIA NI YAKIHUNI. NB- KUTOKANA NA USHAURI ULIOTOLEWA NA BAADHI YA WANA JF (SUBARU forester imepita) haya nenda kanunue.
  12. Havikujezwa

    Hii mikasa inanipata mimi pekee?

    usiamini ndugu.
  13. Havikujezwa

    Basi gani linatoka Morogoro to Arusha

    ABOOD , hao ni hovyo kabisa usipande
  14. Havikujezwa

    Mafundi uashi wana laana?

    usipende mafundi wa hovyohovyo, hayo ndio madhara yake.
Back
Top Bottom