Harrier vs forester subaru

Kwanza siamini hiyo consumption rate yako, pili sijasema atumie ist wala gari yoyote ya cc chini ya 1500. Kama unaelewa ni kuwa nafananisha na gari ya cc 2000 hapa
=====
kuamini ni hiari mimi natumia huo usafiri. Nikijaza full tank Dar nadrive hadi mtwara bila kuongeza . full tank ni 70L. Mtwara from Dar ni kama 670. But hapo naongelea kujaza ubungo napambana na foleni mpaka mbagala. CC1500 ni gari ya chini sana ....unajua ukitumia kitu ghali kinakusaidia ubongo kutafuta pesa...
Msipende kuogopa mafuta.
 
Hapana mkuu, ile loudspeaker unafunga mwenyewe, inaitwa muffler kwa lugha nyepesi..... Subaru huwa hazina sauti kabisa, na inaweza washwa mbele yako hata usisikie kama imewashwa.....ndo maana nazipenda sana hizi gari maana zinakubali hali yoyote uliyonayo, kama unapenda ile sauti unafunga na inaitika kama hupendi unatoa na inakuwa silent balaa mno labda pale inapowasha radiator fan kupooza engine ndo utasikia inatoa sauti.....


Ila ukifunga muffler mkuu, ukiwasha tu linaweka heshima mkuu....pia ufunge na breather kwa ajili ya chafya na transmission performance
Yes. Hata kama umetoka safari ndefu, ukiacha iendelee kupumua, baada ya kupumua huwezi kusikia kama inaunguruma, mpaka raha. Kuna jamaa aliwahi kuingia kwenye gari, akadhani imezimwa, alikuwa anawasha.
 
=====
kuamini ni hiari mimi natumia huo usafiri. Nikijaza full tank Dar nadrive hadi mtwara bila kuongeza . full tank ni 70L. Mtwara from Dar ni kama 670. But hapo naongelea kujaza ubungo napambana na foleni mpaka mbagala. CC1500 ni gari ya chini sana ....unajua ukitumia kitu ghali kinakusaidia ubongo kutafuta pesa...
Msipende kuogopa mafuta.

Mzee hata kama ungesema mtwara ni km 700, rate ingekuwa ni Km10 kwa lita, bado haijafikia ile 11 yako ulioisema. Na kumbuka hiyo ni highway so average inashuka sana tu. Kama unaendesha highway kila siku sawa. Otherwise Subaru ya 2000cc itanipa nguvu ya kutosha tu kwa gharama nafuu.
Sijui hiyo ya cc 1500 unaitoa wapi kwa sababu mimi sijalinganisha nayo mahali popote. Na hata hivyo cc siyo kila kitu kwenye nguvu ya gari. Kuna gari cc1500 au 1800 lakini ina efficiency ya kutosha (mfano turbo).
 
=====
kuamini ni hiari mimi natumia huo usafiri. Nikijaza full tank Dar nadrive hadi mtwara bila kuongeza . full tank ni 70L. Mtwara from Dar ni kama 670. But hapo naongelea kujaza ubungo napambana na foleni mpaka mbagala. CC1500 ni gari ya chini sana ....unajua ukitumia kitu ghali kinakusaidia ubongo kutafuta pesa...
Msipende kuogopa mafuta.
Point of correction.
Dar to Mtwara 562km(soma 565km)
Na Mtwara to Masasi ni km610
 
Hapana mkuu, ile loudspeaker unafunga mwenyewe, inaitwa muffler kwa lugha nyepesi..... Subaru huwa hazina sauti kabisa, na inaweza washwa mbele yako hata usisikie kama imewashwa.....ndo maana nazipenda sana hizi gari maana zinakubali hali yoyote uliyonayo, kama unapenda ile sauti unafunga na inaitika kama hupendi unatoa na inakuwa silent balaa mno labda pale inapowasha radiator fan kupooza engine ndo utasikia inatoa sauti.....


Ila ukifunga muffler mkuu, ukiwasha tu linaweka heshima mkuu....pia ufunge na breather kwa ajili ya chafya na transmission performance
Ukikanyaga mpaka chini engine inalipuka kama kwa saut
 
Hapo kama bado unapenda ujana na unataka gari la kudumu na la familia pia basi nakushauri chukua Subaru Forester XTi(sio STi) hii ni full SUV na ina size kubwa mfano wa Rav4 hivi, hizi gari zinaaminika zaidi kwa performance, usalama kwenye ajali, size kubwa na pia utulivu barabarani.....pia zina ulaji wa kawaida wa mafuta hasa hasa 2.0 petrol na pia haziharibiki kirahisi....asikudanganye mtu kuwa Subaru zinakula sana mafuta ni wewe tu na utayochukua kama 2.0 au 2.5...mm nna subaru Forester sti mwaka wa 5 huu na nimebadilisha taa na matairi tu tena kwa kuigonga vingine vyote viko sawa
 
Subaru Forester SUV...
7bcfaf882f5669e8f72814ccda5ac3e6.jpg
89f1214bfeb3782d0efe81e44d515bb9.jpg
dd54711855f57a98791270915306bfc3.jpg
54d55281d3fd769ef78acece947bc4b5.jpg
 
niajee mazee gari gan hapaa naweza kununua hizo ni choice zangu nilishawahi ku drive forester mwaza la msela bonge la chuma xoo talanta niweke wap mafuta na capability n muhim kwa watalam uwanjaa huu hapa jitupeni
SIKU NYINGINE JARIBU KUTUMIA MANENO MAZURI KATIKA UANDISHI WAKO, WACHANGIAJI WAZURI WAPO ILA LUGHA ULIYOTUMIA NI YAKIHUNI. NB- KUTOKANA NA USHAURI ULIOTOLEWA NA BAADHI YA WANA JF (SUBARU forester imepita) haya nenda kanunue.
 
Mimi pia nimeendesha Harrier ya 2006 cc 2490. Kuhusu mafuta inakunywa na kuhusu comforability inategemea upo kwenye mwendo gani. Ikiwa unaendesha speed za 100km/h + utaanza kuona kama inaelea hivi barabarani na inakuwa laini hali ambayo inakupa hamasa ya kukanyaga mafuta tu. Yani inakuwa kama ndege ya ardhini.

Ingawa niliuza Harrier yangu na sasa napush Rav4 ya 2008. Hata hivyo ninapendekeza mtu kama ana uwezo nalo Harrier new model ni gari zuri sana.
Ndugu Harrier new model unayozungumzia ni ipi? Maana nayoijua mie sio chini ya Milioni 95, Huyu mtu anataka subaru au harrier lakini kumshauri anunue harrier new model ni kumtukana, huwezi ilinhanisha na subaru forester.
 
Hapo umeongea kweli ndugu yangu, mimi nawajua mafundi wachache sana wa Subaru hapa dar, na huwa wanajua kutambua ugonjwa wa gari hata kabla haijaanza kukupa wenye, akisema upeleke gereji usibishe
Mkuu naomba namba ya huyo fundi wa Subaru tafadhali
 
Back
Top Bottom