Atanyea yeye c mimi
Ni FUNDI mzuri tatizo lazima ushinde hapo hapo ukitoka tu kashaiba Mimi ni MTU wa tano kumpasua baada ya kugundua kauza cement![]()
BlockedKtk hili kuna mambo mengi yakujiuliza kabla yakusema kua wana Laana,Nijibu yafuatayo je makubaliano yenu ya Awali yalikuaje,Je mliandikishana kwa mkataba au makubaliano ya mdomo? Kwanini utoe hela yote hiyo wakati Mimi kwa uzoefu wangu wngu najua hela hutolewa kwa awamu kadri ujenzi unavyoendelea,mwisho kabisa nini Lengo lako lakuleta Huu Uzi au ulitaka tujue kua Unajenga?
BlockedKtk hili kuna mambo mengi yakujiuliza kabla yakusema kua wana Laana,Nijibu yafuatayo je makubaliano yenu ya Awali yalikuaje,Je mliandikishana kwa mkataba au makubaliano ya mdomo? Kwanini utoe hela yote hiyo wakati Mimi kwa uzoefu wangu wngu najua hela hutolewa kwa awamu kadri ujenzi unavyoendelea,mwisho kabisa nini Lengo lako lakuleta Huu Uzi au ulitaka tujue kua Unajenga?
Ana matatizo haiwezekani mafundi wote Watatu wawe na matatizoKesi ya Upande mmoja Lazima
mshindi awe huyo....
Tatizo wajenzi wengi kusaka unafuu....
Fundi anaejielewa aibe Mfuko wa
Cement akafanyie nini? .....Fundi wa kuiba Cement na Vitu vya Kijinga ni wale walevi walevi
Huyo sio fundi.Hi great thinkers. Leo mchana nimejikuta namtamkia fundi uashi nanukuu "hivi wewe una laana?" akanijibu mbovu nikampa vitasa kadhaa mdomoni. Hivi sasa kavimba mdomo eti kaenda kunishitaki nimemvimbisha mdomo Kwa ngumi.
Tatizo kala 3/4 ya pesa yote halafu anakuja site anashinda kilabuni. Cement kila mara anakuja eti imeisha kumbe anauza Mae.
Si chini ya mafundi wanne wameniliza Leo mbwaimbwai nitahakikisha uso unachakaa. Hivi huwa wana laana? Mi siwaelewi.
Kwanini hutaki mimi nikanunue mwenyewe hayo mahitaji?! Ni kwasababu umeweka cha juu ili utokee hapo hapo! Mafundi wa kibongo hovyo sana, kwanini usiridhike na labor charge yako unataka upige cha juu kwenye vingine?Mimi ndo sipendagi mambo haya ya kununuliwa materials na boss, nkija site kwako nakupigia total materials and cost plus na hela yangu ya kazi. Then nanunua hayo materials as per estimation afu wewe unakua na store keeper wako kuhakikisha kilichokadiriwa ndo kimenunuliwa then unanilipa pesa yangu, ndo raha ya kufanya kazi na mafundi wenye mitaji yao na taaluma zao.Mtafute Fundi Wa namna hii hakika hutojutia
Eti akanunue materials mwenyewe, hivi nani ataruhusu hiyo kitu? Nipe quotation, tuelewane labor charge, nitanunua kila kitu na kukileta site.Kwanini hutaki mimi nikanunue mwenyewe hayo mahitaji?! Ni kwasababu umeweka cha juu ili utokee hapo hapo! Mafundi wa kibongo hovyo sana, kwanini usiridhike na labor charge yako unataka upige cha juu kwenye vingine?
KwannUnaambiwa Fundi mkweli ni kinyozi tuu
Kama anamtu anakwambia na unaona kweli anamtu ila wengine ni majanga tuuKwann
Nao mngekuwa mnawaachia vichwa ndo mngekoma ila kwakuwa vichwa mnaondoka navyoKama anamtu anakwambia na unaona kweli anamtu ila wengine ni majanga tuu
mkuu sasa mbona kama umedhamiria kuua? dooh🙂Mimi ni mtumishi muda mwingi nakuwa job ndo chance ya kunitia hasara pesa yenyewe ninekopa bank nipate Kwa kujihifadhi na wanangu halafu unaleta uhuni wa kijinga akipona nampasua tena makusudi![]()
![]()
Tangu lini kinyozi akawa fundi?Fundí mkweli Kinyozi