Acha basi kuwa mjinga kama mtu ambaye hujaenda shule.
Vitu vya kimataifa vinaenda kwa mikataba. Mfano; kuna hii mikataba ya kuzuia mifuko ya plastic; kuna nchi zimesaini kuna Nchi zimekataa'
Ina maana zile Nchi zilizokataa kusaini bado zina uhuru wa kuendelea kutumia mifuko ya plastic na hata...
Acha matusi ongea kwa hoja......
Israel na hata Marekani hawakuingia mkataba wa kukataa kutumia Cluster Bombs "The Convention on Cluster Munition" kwa maana hiyo hawakukubaliana kuacha matumizi yake hivyo wapo tayari kuzitumia. Hata Iran nayo haikusaini huo mkataba hivyo ipo huru kuzitumia...
Kwa hiyo hata kama ni kwa elimu ya darasa la nne; Kumuona dada mmoja ndio useme ni mabiti wote?
Kwa hiyo ukiona mwanamme mmmoja kijana anafanya mapenzi na mbuzi pori; Utasema wanaume wote vijana wanafanya mapenzi na mbuzi pori?
Wewe kama umeamua kumdhalilisha, ungeleta kama habari ya mtu mmoja...
Mabonu yaliyotumika kule Hiroshima mwaka 1945 leo hii ndio unaita jipya???
Kama unaelewa lugha ya Malikia soma hiyo......
The Jericho series represents Israel’s real-world nuclear-capable ballistic missiles, which are now prohibited from use globally. This development reflects the ongoing...
Fikiria; Umelipia gari uzito 1900, ukabadilisha gari la uzito 2700. Unaambaiwa ucancel permit halafu usubiri siku saba na kuendelea; ndio waruhusu kuitumia tena hiyo hela.
Fikiria una wageni 12 mmoja akaumwa (ujue wawili watabaki nje (mke na mume) kwa muda) utaratibu ni kuwa ucancel permit ya...
Kumbuka tu kuwa; Mungu hujibu maombi yenye Ukweli/Uhalisia na sio Fitna. Wewe mwenyewe umeweka ushahidi hapo kuwa alichokuwa anafanyiwa ni FITNA ambapo tunajua kabisa kuwa Mungu hawezi kujibu fitna; hivyo kilichotokea ni ajali kama ajali na sio Albadru....tafuteni elimu kabla ya kuleta hoja za...
Mungu hujibu maombi yenye Ukweli/Uhalisia na sio Fitna.
Kama ni kweli alichokuwa anafanyiwa ni FITINA ina maana Mungu hawezi kujibu hivyo kilichotokea ni ajali ....
Nirudi kwenye mchango wako hapa; ni kweli kabisa kwenye hizi Dini watu hawatumii akili kabisa
Mfano: Mchungaji Kibwetere aliua...
Bila kuingilia mada
Hapo kwenye Mshahara, nahisi umeona 70M per annum, ukajua ni kwa mwezi. Japo sikulaumu kwa kuwa lugha za mikataba ni tofauti kidogo. (Kwa kukusaidia; per Annum, maana yake ni kwa mwaka hivyo ukitaka kuujua mshahara kwa mwezi unagawanya kwa 12). Kwa hizo nafasi mara nyingi...
Jibu ni HAPANA kwani Mungu akikubariki, unatakiwa uwasaidie na wengine
Kuwasaidia ndugu ni jambo jema sana japo kila mmoja asaidiwe kulingana na uhitaji wake; Mfano;
1. Kama ni mkulima mzuri; msaidie kulima shamba kubwa wakati wa msimu na mnunulie mbegu na unaweza kumsaidia palizi pia
2. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.