Fikiria; Umelipia gari uzito 1900, ukabadilisha gari la uzito 2700. Unaambaiwa ucancel permit halafu usubiri siku saba na kuendelea; ndio waruhusu kuitumia tena hiyo hela.
Fikiria una wageni 12 mmoja akaumwa (ujue wawili watabaki nje (mke na mume) kwa muda) utaratibu ni kuwa ucancel permit ya...
Kumbuka tu kuwa; Mungu hujibu maombi yenye Ukweli/Uhalisia na sio Fitna. Wewe mwenyewe umeweka ushahidi hapo kuwa alichokuwa anafanyiwa ni FITNA ambapo tunajua kabisa kuwa Mungu hawezi kujibu fitna; hivyo kilichotokea ni ajali kama ajali na sio Albadru....tafuteni elimu kabla ya kuleta hoja za...
Mungu hujibu maombi yenye Ukweli/Uhalisia na sio Fitna.
Kama ni kweli alichokuwa anafanyiwa ni FITINA ina maana Mungu hawezi kujibu hivyo kilichotokea ni ajali ....
Nirudi kwenye mchango wako hapa; ni kweli kabisa kwenye hizi Dini watu hawatumii akili kabisa
Mfano: Mchungaji Kibwetere aliua...
Bila kuingilia mada
Hapo kwenye Mshahara, nahisi umeona 70M per annum, ukajua ni kwa mwezi. Japo sikulaumu kwa kuwa lugha za mikataba ni tofauti kidogo. (Kwa kukusaidia; per Annum, maana yake ni kwa mwaka hivyo ukitaka kuujua mshahara kwa mwezi unagawanya kwa 12). Kwa hizo nafasi mara nyingi...
Jibu ni HAPANA kwani Mungu akikubariki, unatakiwa uwasaidie na wengine
Kuwasaidia ndugu ni jambo jema sana japo kila mmoja asaidiwe kulingana na uhitaji wake; Mfano;
1. Kama ni mkulima mzuri; msaidie kulima shamba kubwa wakati wa msimu na mnunulie mbegu na unaweza kumsaidia palizi pia
2. Kama...
vyote vimekatazwa
Suala la kipi kinapewa uzito ni mtazamo tu wa jamii
Mfano; Wizi wa mali za umma ni tatizo kubwa ila utaona linaongelewa kirahisi rahisi tu. Mtu anaweza kuchepushe hela na kufanya watu wafe kwa kukosa huduma ila ionekane kawaida kuliko mwizi wa kuku
Waislam hawaruhusiwi Kula Nguruwe; ILA ikitokea mazingira kuwa hakuna chakula kiasi kuwa akiacha kula ATAKUFA, ameambiwa ale CHOCHOTE kinachopatikana katika mazingira aliyoko kwa kiasi kunusuru uhai...na akinusurika na hiyo hali atubu na kuomba msamaha. Nafikiri hapo kwenye kula chochote ndipo...
Kuna mambo mengi ILA mojawapo
Ukisoma kwenye historia ya Mitume; kuna mahala watoto wa mtaa mzima waligeuzwa wakawa Nguruwe
Ilikuwa ni muujiza ila baadhi ya adhari zake baada ya hapo
Viungo (organs), Tissue nk za nguruwe zikafanana na binadam kuliko mnyama mwingine yeyote; Ikiwemo kuingia...
Meneja wa makampuni nimekuunga mkono 100 kwa 100 pamoja na kuwa umeandika kwa kutumia Biblia.
Hata kwa mujibu wa Quran utaratibu ni huo huo japo umeelezwa kwa namna tofauti kidogo. Watu waovu wata anza mateso tangu ile siku wamezikwa hadi siku ya hukumu na baada ya hukumu mateso yataendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.