Recent content by Hassanjk

  1. H

    JamiiForums Tanzania Kombora la kisasa la Israel liitwalo “Jericho” litazinduliwa kwa kuipiga Iran Kama italeta mchezo!!!

    Samahani siwezi kubishana na mtu ambaye hana maarifa sorry; kabishane na wajinga wenzako!
  2. H

    JamiiForums Tanzania Kombora la kisasa la Israel liitwalo “Jericho” litazinduliwa kwa kuipiga Iran Kama italeta mchezo!!!

    Acha basi kuwa mjinga kama mtu ambaye hujaenda shule. Vitu vya kimataifa vinaenda kwa mikataba. Mfano; kuna hii mikataba ya kuzuia mifuko ya plastic; kuna nchi zimesaini kuna Nchi zimekataa' Ina maana zile Nchi zilizokataa kusaini bado zina uhuru wa kuendelea kutumia mifuko ya plastic na hata...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kombora la kisasa la Israel liitwalo “Jericho” litazinduliwa kwa kuipiga Iran Kama italeta mchezo!!!

    Acha matusi ongea kwa hoja...... Israel na hata Marekani hawakuingia mkataba wa kukataa kutumia Cluster Bombs "The Convention on Cluster Munition" kwa maana hiyo hawakukubaliana kuacha matumizi yake hivyo wapo tayari kuzitumia. Hata Iran nayo haikusaini huo mkataba hivyo ipo huru kuzitumia...
  4. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Kwa hiyo hata kama ni kwa elimu ya darasa la nne; Kumuona dada mmoja ndio useme ni mabiti wote? Kwa hiyo ukiona mwanamme mmmoja kijana anafanya mapenzi na mbuzi pori; Utasema wanaume wote vijana wanafanya mapenzi na mbuzi pori? Wewe kama umeamua kumdhalilisha, ungeleta kama habari ya mtu mmoja...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Kombora la kisasa la Israel liitwalo “Jericho” litazinduliwa kwa kuipiga Iran Kama italeta mchezo!!!

    Mabonu yaliyotumika kule Hiroshima mwaka 1945 leo hii ndio unaita jipya??? Kama unaelewa lugha ya Malikia soma hiyo...... The Jericho series represents Israel’s real-world nuclear-capable ballistic missiles, which are now prohibited from use globally. This development reflects the ongoing...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ndoa inahitaji maboresho

    unahoja usikilizwe!
  7. H

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa Credit Note wa NCAA ni kero kwa makampuni

    Fikiria; Umelipia gari uzito 1900, ukabadilisha gari la uzito 2700. Unaambaiwa ucancel permit halafu usubiri siku saba na kuendelea; ndio waruhusu kuitumia tena hiyo hela. Fikiria una wageni 12 mmoja akaumwa (ujue wawili watabaki nje (mke na mume) kwa muda) utaratibu ni kuwa ucancel permit ya...
  8. H

    JamiiForums Tanzania TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Kumbuka tu kuwa; Mungu hujibu maombi yenye Ukweli/Uhalisia na sio Fitna. Wewe mwenyewe umeweka ushahidi hapo kuwa alichokuwa anafanyiwa ni FITNA ambapo tunajua kabisa kuwa Mungu hawezi kujibu fitna; hivyo kilichotokea ni ajali kama ajali na sio Albadru....tafuteni elimu kabla ya kuleta hoja za...
  9. H

    JamiiForums Tanzania TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Mungu hujibu maombi yenye Ukweli/Uhalisia na sio Fitna. Kama ni kweli alichokuwa anafanyiwa ni FITINA ina maana Mungu hawezi kujibu hivyo kilichotokea ni ajali .... Nirudi kwenye mchango wako hapa; ni kweli kabisa kwenye hizi Dini watu hawatumii akili kabisa Mfano: Mchungaji Kibwetere aliua...
  10. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haji Manara kurejea Simba, na Ahmed Ally kupandishwa cheo

    Bila kuingilia mada Hapo kwenye Mshahara, nahisi umeona 70M per annum, ukajua ni kwa mwezi. Japo sikulaumu kwa kuwa lugha za mikataba ni tofauti kidogo. (Kwa kukusaidia; per Annum, maana yake ni kwa mwaka hivyo ukitaka kuujua mshahara kwa mwezi unagawanya kwa 12). Kwa hizo nafasi mara nyingi...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Wenye nyumba kuweni makini na wapangaji WEZI WA UMEME

    Labda nyumba za zamani Nyumba za miaka ya hivi karibuni Mita ipo juu ya Nguzo; huyo mwizi labda awe kishoka wa Tanesco
  12. H

    JamiiForums Tanzania Ni Sahihi kuwa na Pesa nyingi kwenye account ya Benki ikiwa ndugu zako ni hohehae?

    Jibu ni HAPANA kwani Mungu akikubariki, unatakiwa uwasaidie na wengine Kuwasaidia ndugu ni jambo jema sana japo kila mmoja asaidiwe kulingana na uhitaji wake; Mfano; 1. Kama ni mkulima mzuri; msaidie kulima shamba kubwa wakati wa msimu na mnunulie mbegu na unaweza kumsaidia palizi pia 2. Kama...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    Napenda sana hiyo adventure; run+ hiking.... Kama utakuwepo, nijulishe....
  14. H

    JamiiForums Tanzania Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    karibu Meru forest run 31st Aug
  15. H

    JamiiForums Tanzania Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

    Hata kwa akili ya darasa la nne, Nguruwe anaweza kuishi jangwani? Inasikitisha jinsi unavyoweza kuona watu wamesoma kumbe kichwani hawana maarifa.
Back
Top Bottom