Recent content by Hassanjk

  1. H

    Sheria ya ndoa inahitaji maboresho

    unahoja usikilizwe!
  2. H

    KERO Mfumo wa Credit Note wa NCAA ni kero kwa makampuni

    Fikiria; Umelipia gari uzito 1900, ukabadilisha gari la uzito 2700. Unaambaiwa ucancel permit halafu usubiri siku saba na kuendelea; ndio waruhusu kuitumia tena hiyo hela. Fikiria una wageni 12 mmoja akaumwa (ujue wawili watabaki nje (mke na mume) kwa muda) utaratibu ni kuwa ucancel permit ya...
  3. H

    TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Kumbuka tu kuwa; Mungu hujibu maombi yenye Ukweli/Uhalisia na sio Fitna. Wewe mwenyewe umeweka ushahidi hapo kuwa alichokuwa anafanyiwa ni FITNA ambapo tunajua kabisa kuwa Mungu hawezi kujibu fitna; hivyo kilichotokea ni ajali kama ajali na sio Albadru....tafuteni elimu kabla ya kuleta hoja za...
  4. H

    TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Mungu hujibu maombi yenye Ukweli/Uhalisia na sio Fitna. Kama ni kweli alichokuwa anafanyiwa ni FITINA ina maana Mungu hawezi kujibu hivyo kilichotokea ni ajali .... Nirudi kwenye mchango wako hapa; ni kweli kabisa kwenye hizi Dini watu hawatumii akili kabisa Mfano: Mchungaji Kibwetere aliua...
  5. H

    Haji Manara kurejea Simba, na Ahmed Ally kupandishwa cheo

    Bila kuingilia mada Hapo kwenye Mshahara, nahisi umeona 70M per annum, ukajua ni kwa mwezi. Japo sikulaumu kwa kuwa lugha za mikataba ni tofauti kidogo. (Kwa kukusaidia; per Annum, maana yake ni kwa mwaka hivyo ukitaka kuujua mshahara kwa mwezi unagawanya kwa 12). Kwa hizo nafasi mara nyingi...
  6. H

    Wenye nyumba kuweni makini na wapangaji WEZI WA UMEME

    Labda nyumba za zamani Nyumba za miaka ya hivi karibuni Mita ipo juu ya Nguzo; huyo mwizi labda awe kishoka wa Tanesco
  7. H

    Ni Sahihi kuwa na Pesa nyingi kwenye account ya Benki ikiwa ndugu zako ni hohehae?

    Jibu ni HAPANA kwani Mungu akikubariki, unatakiwa uwasaidie na wengine Kuwasaidia ndugu ni jambo jema sana japo kila mmoja asaidiwe kulingana na uhitaji wake; Mfano; 1. Kama ni mkulima mzuri; msaidie kulima shamba kubwa wakati wa msimu na mnunulie mbegu na unaweza kumsaidia palizi pia 2. Kama...
  8. H

    Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    Napenda sana hiyo adventure; run+ hiking.... Kama utakuwepo, nijulishe....
  9. H

    Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    karibu Meru forest run 31st Aug
  10. H

    Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

    Hata kwa akili ya darasa la nne, Nguruwe anaweza kuishi jangwani? Inasikitisha jinsi unavyoweza kuona watu wamesoma kumbe kichwani hawana maarifa.
  11. H

    Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

    vyote vimekatazwa Suala la kipi kinapewa uzito ni mtazamo tu wa jamii Mfano; Wizi wa mali za umma ni tatizo kubwa ila utaona linaongelewa kirahisi rahisi tu. Mtu anaweza kuchepushe hela na kufanya watu wafe kwa kukosa huduma ila ionekane kawaida kuliko mwizi wa kuku
  12. H

    Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

    Mbona hujulizi kwanini mamba aliumbwa au nyoka au pengine buibui nk na wapo kwenye kundi linalo ua watu wengi tu....
  13. H

    Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

    Waislam hawaruhusiwi Kula Nguruwe; ILA ikitokea mazingira kuwa hakuna chakula kiasi kuwa akiacha kula ATAKUFA, ameambiwa ale CHOCHOTE kinachopatikana katika mazingira aliyoko kwa kiasi kunusuru uhai...na akinusurika na hiyo hali atubu na kuomba msamaha. Nafikiri hapo kwenye kula chochote ndipo...
  14. H

    Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

    Kuna mambo mengi ILA mojawapo Ukisoma kwenye historia ya Mitume; kuna mahala watoto wa mtaa mzima waligeuzwa wakawa Nguruwe Ilikuwa ni muujiza ila baadhi ya adhari zake baada ya hapo Viungo (organs), Tissue nk za nguruwe zikafanana na binadam kuliko mnyama mwingine yeyote; Ikiwemo kuingia...
  15. H

    Mtu akifa anaenda wapi?

    Meneja wa makampuni nimekuunga mkono 100 kwa 100 pamoja na kuwa umeandika kwa kutumia Biblia. Hata kwa mujibu wa Quran utaratibu ni huo huo japo umeelezwa kwa namna tofauti kidogo. Watu waovu wata anza mateso tangu ile siku wamezikwa hadi siku ya hukumu na baada ya hukumu mateso yataendelea...
Back
Top Bottom