Nasomaje Advanced chemistry?

Nasomaje Advanced chemistry?

Mi mwenyewe nilijitiaga kiherehere kwenda kusoma CBG tena private miezi minne mingi nikageuza komwe kurudi arts 🤣
Science bwana na walimu wake ni vusanga hapa nchini kwa miaka ya nyuma .
Umenikumbusha mbali wakati wa maPCB eti niwe daktari nadhani nilikuwa nimechizi japo watu hawakuelewa maana ilikuwa haipiti juma sijaenda muhimbili hospitali kutembea na vile nilikuwa na rafiki alikuwa anafanya kazi mochwari basi ni kwenda kumuona mara niombe anioneshe maiti eti natafuta maconfidence nikawa naishia kuogopa kulala inabidi nikeshe na wana wa keko tunavuruga wid na kukimbizana na difenda za barracks .

Ni mziki mwingine aisee ,shemeji katoto akaze kwa sasa mambo ni rahisi kiasi chake sio miaka ile picha linaqnza ticha wa phyz naye kama dish limeyumba hivi
 
Science bwana na walimu wake ni vusanga hapa nchini kwa miaka ya nyuma .
Umenikumbusha mbali wakati wa maPCB eti niwe daktari nadhani nilikuwa nimechizi japo watu hawakuelewa maana ilikuwa haipiti juma sijaenda muhimbili hospitali kutembea na vile nilikuwa na rafiki alikuwa anafanya kazi mochwari basi ni kwenda kumuona mara niombe anioneshe maiti eti natafuta maconfidence nikawa naishia kuogopa kulala inabidi nikeshe na wana wa keko tunavuruga wid na kukimbizana na difenda za barracks .

Ni mziki mwingine aisee ,shemeji katoto akaze kwa sasa mambo ni rahisi kiasi chake sio miaka ile picha linaqnza ticha wa phyz naye kama dish limeyumba hivi
Siku hizi madogo wanayaweza sana! nina madogo wamepiga hizi nashindwa kuelewa mpaka wanawezaje kujisnap na kupost lol! enzi zetu elimu ni vita! sema akomae tu dogo atatoboa! Akishindwa anichek nimpe mdogo wangu kamaliza six juzi anakimbiza vibaya!
 
Siku hizi madogo wanayaweza sana! nina madogo wamepiga hizi nashindwa kuelewa mpaka wanawezaje kujisnap na kupost lol! enzi zetu elimu ni vita! sema akomae tu dogo atatoboa! Akishindwa anichek nimpe mdogo wangu kamaliza six juzi anakimbiza vibaya!
Seran bado nakupenda jitunze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom