Habari za uhakika ni kuwa Haji Manara amekubali kurejea Simba, Baada ya Rais wa Club hiyo Mo Dewji kumuomba msamaha sana ili arejee
Haji Manara ilikuwa aonekane Leo kwenye uzinduzi wa jersey za Simba, lakini kutoka na malipo yake kutoka Kwa Mo Dewji kucheleweshwa, Sasa ni dhahiri tutamwona Simba day
Kumbuka Haji Manara aiitoka Simba 2021 akilalamika kuwa Mo Dewji na Babra walimhujumu na kumfukuza kama mbwa
Pia akilalamika kuwa alikuwa akilipwa mshahara kidogo kiasi cha laki 7 tu.
Pia Manara alitoa laana kuwa Simba haitatwaa ubingwa wowote zaidi ya miaka 10.
Na kweli Toka Haji Manara atoke Simba haijawahi kutwaa hata kombe la Mapinduzi.
Uongozi wa Simba ukiongozwa na Mo Dewji wameamua kumrejesha Haji Manara, na hiyo atakuwa akilipwa million 70 Kwa mwezi na marupurupu mengine
Simba Sasa wanasafisha njia Yao
Diwani mtarajiwa wa Kariakoo, we piga pesa za mambumbumbu, wao wanajua ukienda pale umbumbumbuni watatwaa ubingwa
Pia a