Recent content by Hassan Ali

  1. H

    JamiiForums Tanzania Ufisadi wa kutisha, serikali ya Magufuli. Biswalo Mganga atajwa

    Kwani haiwezi kubadilishwa na Rais mwingine? Sijui sheria hivyo ila kama Rais anaweza kujitungia tu mambo na ikawa sheria basi Rais mwingine anaweza akaibadili pia
  2. H

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Mali nyingi za Mitume na Manabii zimesajiliwa kwa majina yao binafsi wakidaiwa Kodi wanadai ni mali za Kanisa

    Kila mmoja ana uhuru wa kutoa maoni yake Kwa yote uliyoyaandika nimeyaelewa ila siwezi kuongeza kitu maana umeisha niita mtoto mdogo mara sijui nini wakati inawezekana nakuzidi umri sana ila kwa kuwa hatujuani nimekuacha kama ulivyo Mara nyingine kama umekwazika na comment za humu usimhukumu...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Mwanamfalme Andrew apoteza vyeo vyake vya kijeshi na ufadhili

    Amekanusha sana lakini mpaka picha zipo wakiwa na swahiba wake Jeffrey Na bado alikanusha Ingawa ni kipenzi cha Malkia ila ndio hivyo tena Yaani vyeo vyote daa
  4. H

    JamiiForums Tanzania Mwanamfalme Andrew apoteza vyeo vyake vya kijeshi na ufadhili

    Au hujaelewa hapo “mwanamfalme” Mtoto wa Malkia wa Uingereza?
  5. H

    JamiiForums Tanzania Kwa kelele hizi za Mbwa nadhani Jobo haipo mbali sana

    Mungu ataliepusha janga hili na litapita kama hakuna kitu Hao kawaida yao kuomba mabaya Tumewasamehe bure
  6. H

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Freddie Mercury gwiji la muziki aliyezaliwa na kukulia Zanzibar, Ulaya wanajivunia

    Mwaka 1991 alichomwa moto Kensal Green cemetery ila haijulikani majivu yaliwekwa wapi hata wazazi wake hawajui maana alikataa kuwa na dini yoyote
  7. H

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu yafuta mashtaka 14 kati ya 25 ya Masheikh wa Uamusho

    Allah awafanyie wepesi na wapate uhuru wao siku moja na kurudi kwa jamii zao
  8. H

    JamiiForums Tanzania Kwa kelele hizi za Mbwa nadhani Jobo haipo mbali sana

    Yaani huyu Jobo mpaka aje kufika pwani yetu atakuwa hoi anaenda 20m/h Equator inatubeba sana na hizi rare cyclone zimetokea mara mbili tu Tz
  9. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

    Ubalozi wa Marekani umetoa mwelekezo mzuri sana na nini cha kufanya na kujilinda Yaani mpaka wamesema wajiandae hata kuondoka na kwenda sehemu salama pia simu zao ziwe zimejaa na magari yawe tayari Sasa kama kuna kitu kinatokea ni vizuri kuelezana mapema na sio kama kiongozi mmoja anasema Eti...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Chanjo ya Malaria ipo njiani; je, utakubali kuchoma chanjo hiyo?

    Wenzetu wanahangaika kupata tiba za kila maradhi ila sisi kwanza lazima tubishe ndio tukubali baadae kama sio wale Ni kawaida yetu kupinga na kuhoji sana ingawa ukiuliza chanjo wanazopewa watoto zimefanyiwa utafiti lini? Hutapata jibu Na Oxford baada ya kufanikisha kutengeneza dawa ya Covid...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Ndugu Lissu, ukitaka kurejea nchini rejea; usiweke masharti haina maana

    Maajabu hayaishi duniani
  12. H

    JamiiForums Tanzania Mama aibiwa mafao yake yote NMB Kahama

    Bank waizi daa Kuna haja gani ya Kuwa na Bank kama nchi? Unaibiwa bank? Hii ni kashfa kubwa sana kama wenzetu mda huu kila sehemu ya dunia imechapishwa ila kwa sisi tunajionea kawaida tu
  13. H

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa mila aangua kilio baada ya ng'ombe wake 800 na mbuzi 700 kuondolewa kwenye makazi yake kinyemela

    Utakuta wa hivyo wanalalia ngozi na kiatu yebo Utaijiri wa macho huo unakuta hata watoto hawaendi Shule kutwa wako machungani
Back
Top Bottom