Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,625
Unatafutwa kaa macho sana!! haladu usilale sehemu moja jitahidi uhame!! hame kwa mfano leo mbagala kesho salasala!! kazini weka wasaidizi vinginevyo hatutakuona humu tena!!Kumaliza mzizi wa fitina hapa, suluhisho ni hili.
1. Kila taasisi ya dini ilazimishwe kuweka wazi mali inazozimiliki ili serikali ijue, waumini wajue na jamii ijue.
2. Kila kiongozi wa dini awajibike kuweka wazi mali zake kwa serikali na umma kila mwaka (Lengo ni kuepusha utakatishaji wa pesa na utapeli kupitia mgongo wa dini).
3. Mali yoyote iliyoandikishwa kwa jina la mtu ilipiwe kodi moja kwa moja, hakuna cha maongezi.
4. Mali yoyote iliyoandikishwa kwa jina binafsi na kukweka kulipa kodi kwa mgongo wa kidini itaifishwe mpaka mhusika atakapolipa kodi husika na marejeo ya adhabu.
5. Mali yoyote ya taasisi ya dini iliyokuja kumilikishwa kwa mtu binafsi kinyume na utaratibu, serikali iitaifishwe au kuirejesha kwa waumini wa dini.