Recent content by hashimrashidy

  1. hashimrashidy

    Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

    Naomba kuuliza maana nimeingia hapa nakuta sehem ya ku upload picha tu. Na hapa nina barua, swali langu je hii barua tuna upload wapi? Au hii ni step 1 ndio natakiwa ni upload picha kisha kuna step 2 ndio ntatakiwa ni upload barua? Au hakuna ku upload barua ni picha tu? Naombeni majibu kwa...
  2. hashimrashidy

    Jinsi ya ku-unfollow watu wengi kwa pamoja Instagram

    Nakumbuka nilikuwa natumiaga app moja hv inaitwa unfollow ila kwasasa hv sikushauri maana Instagram wameweka sheria ngumu mno ambayo ukitumia hyo APP uka unfollow wote kwa pamoja account yako inakuwa block. Labda ufanye tu Manually na hapo kwenye syo unfollow watu wote kwa mda mmoja NO. just...
  3. hashimrashidy

    Naomba msaada wa kupata wimbo wa Keisha uitwao "Msinitenge"

    AUDIO MUSIC : KEISHA - USINICHEKE USINITENGE | DOWNLOAD Mp3 SONG
  4. hashimrashidy

    Naomba ushauri wa App ya watoto kwenye simu

    Kids home Kids palace Zipo playstore kama una androids
  5. hashimrashidy

    Najaribu kudevelop App ambayo unaweza kujifunza na kusoma Holly Quran kwenye simu yako

    anatengeneza qur an au anatengeneza app itakayokuwezesha kusoma qur an.......kama huna point kaa kmya aiseee
  6. hashimrashidy

    Msaada: Samsung Galaxy Tab A 2016 inasumbua mtandao

    Simu nilinunua mpya kabsa dukani na ilikuwa inafanya kazi vzury tu nashangaa kipindi hiki inaleta shida hii wakat haikukutana na tatzo lolote la kuanguka na nimejarbu line tofaut tofaut lakn naona bado tu Kwa mjini cjawai toka nayo tangu ilete shida hii uwaga naichaga ila naona simu zingine...
  7. hashimrashidy

    Msaada: Samsung Galaxy Tab A 2016 inasumbua mtandao

    Habar zenu wakuu kuna simu hapa inasumbua sijajuwa naombeni msaada. Simu yenyewe ni Samsung Galaxy Tab A 2016 Simu hii tatzo linakuja pale napo washa data mnara ama network inashuka mara inapanda mara inaondoka kabsa Unaweza ukawasha data ikaandika 4g mara muda huo huo ikawa andika E mara...
  8. hashimrashidy

    Jinsi ya kupata pesa na online survey

    Sure maana naona mtu anaweka tangazo lake halafu ma developer wana comment chini tena kwa wingi sana na wengine wana shuka bei Naona kikubwa hapo ufanisi wako wa kazi na sample za kazi zako ndizo ztakazokufanya upate kazi zaidi na zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. hashimrashidy

    Naombeni ufafanuzi juu ya hiki kifaa

    Shi Shukran sana mkuu ubarikiwe Sent using Jamii Forums mobile app
  10. hashimrashidy

    Naombeni ufafanuzi juu ya hiki kifaa

    Sina kitabu mzee...ningekuwa nakitabu maana yake ningekuwa nshapata solution wala nisinge omba msaada hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. hashimrashidy

    Naombeni ufafanuzi juu ya hiki kifaa

    Habar za muda huu wakuu. Naombeni ufahamu zaidi juu ya hiki kifaa Hii ni friedge ama fridge freezer kampuni ya siemens sasa nikifungua mlango wa fridge kwa juu nakuta hiki kifaa ambacho na imani cha ku setting kiwango cha kugandisha nafikiri japo sina uta alamu nimeleta kwenye mnijuze...
  12. hashimrashidy

    Wapi Niagize Mizigo Online Tofauti Na China

    Amazon Sent using Jamii Forums mobile app
  13. hashimrashidy

    Hii ni kwa wale wadau wa Adsense, pita hapa

    Hivi kuna mtu aliyewahi kufungiwa akaunti yake ya Adsense (Adsense Disable) halafu akapewa option ya ku appeal na akafanikiwa kurudisha akaunti yake? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom