vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 869
Hv fiveer inahusiana na marketing tu auUpwork ndo ngumu kujiunga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv fiveer inahusiana na marketing tu auUpwork ndo ngumu kujiunga
mkuu naomba nielekeze namna ya ku apply job husika ili niweze kuifanya na nipate malipoHizi hazina ela utapoteza muuda aisee piga freelancing kama hivi mwezi wangu unaanza tarehe 6 shaingiza zaidi ya 2mls hapo ni platformmoja nikienda upwork nako nishaingiza kama laki nane
View attachment 1434878
Survey hazina deal
Share mgodi hapa watu tuingie tuchimbe tupate madiniHizi hazina ela utapoteza muuda aisee piga freelancing kama hivi mwezi wangu unaanza tarehe 6 shaingiza zaidi ya 2mls hapo ni platformmoja nikienda upwork nako nishaingiza kama laki nane
View attachment 1434878
Survey hazina deal
Nimewawekea platforms mbona, upwork.com fiverr.com utest.com freelancer.com kazi kwenuShare mgodi hapa watu tuingie tuchimbe tupate madini
freelancer.com
upwork.com
fiverr.com
Sure maana naona mtu anaweka tangazo lake halafu ma developer wana comment chini tena kwa wingi sana na wengine wana shuka beiHapo kwenye Voice Over Kupata connection pia issue sio kirahisi mimi nina hiyo tallent lakini napata issue mara moja kwa miezi miwili
Free na ukipenda unainvest ela pia ni uamuzi wako piaLakini hizo kaka unatumia free au hadi ulipie
Yah uko right lakini saa nyingine ni kumshawishi client kuwa uko full loaded mfano kama upwork unaweza weka attachment ya min studio setup kumshawish client kama unayoHapo kwenye Voice Over Kupata connection pia issue sio kirahisi mimi nina hiyo tallent lakini napata issue mara moja kwa miezi miwili
Hip voice over inahusu nini Mkuu?Hapo kwenye Voice Over Kupata connection pia issue sio kirahisi mimi nina hiyo tallent lakini napata issue mara moja kwa miezi miwili
freelancer au upworkmkuu naomba nielekeze namna ya ku apply job husika ili niweze kuifanya na nipate malipo
kaka msaada na ushauri pleasefreelancer au upwork
Sijajua unaomba msaada ganikaka msaada na ushauri please
Si article writting hiyo inamaanisha utakuwa tayari kufanya masahihisho mara ngapi yani unamtumia client labda anaikurdishia uirekebishe
Okay asante sana mkuu nilikuwa nafikiria hivyo hivyo.Naomba usinichoke mkuu kwa maswali [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Si article writting hiyo inamaanisha utakuwa tayari kufanya masahihisho mara ngapi yani unamtumia client labda anaikurdishia uirekebishe
Mimi niko fiverr ila uwa siitumii so kuna mengi nitashindwa kukusaidiaOkay asante sana mkuu nilikuwa nafikiria hivyo hivyo.Naomba usinichoke mkuu kwa maswali [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay kaka hamna shida hata freelancer nipoMimi niko fiverr ila uwa siitumii so kuna mengi nitashindwa kukusaidia