hashimrashidy
Senior Member
- Sep 11, 2015
- 197
- 145
Habar zenu wakuu kuna simu hapa inasumbua sijajuwa naombeni msaada. Simu yenyewe ni Samsung Galaxy Tab A 2016
Simu hii tatzo linakuja pale napo washa data mnara ama network inashuka mara inapanda mara inaondoka kabsa
Unaweza ukawasha data ikaandika 4g mara muda huo huo ikawa andika E mara mtandao ukaondoka kabsa
NAOMBENI MNIJUZE JE TATZO NI NN NA JE LINA TATULIWA VIPI
Simu hii tatzo linakuja pale napo washa data mnara ama network inashuka mara inapanda mara inaondoka kabsa
Unaweza ukawasha data ikaandika 4g mara muda huo huo ikawa andika E mara mtandao ukaondoka kabsa
NAOMBENI MNIJUZE JE TATZO NI NN NA JE LINA TATULIWA VIPI