hashimrashidy
Senior Member
- Sep 11, 2015
- 197
- 145
Habar za muda huu wakuu.
Naombeni ufahamu zaidi juu ya hiki kifaa
Hii ni friedge ama fridge freezer kampuni ya siemens sasa nikifungua mlango wa fridge kwa juu nakuta hiki kifaa ambacho na imani cha ku setting kiwango cha kugandisha nafikiri japo sina uta alamu nimeleta kwenye mnijuze
Ukiangalia hiki kifaa hapo kwenye picha upande wa kushoto imeanza na button iliyo anikwa SUPER ikifuatiwa na button iliyo andikwa MAX
halafu ikifuatiwa na button ambazo zipo kwa alama ya negative (-) halafu kuna namba namba hzo zimeanzia kubwa kushuka chini yani -22 -20 -18 -16 halafu ikifuatiwa na button iliyo andikwa alama ya Centigrade ikamalizikia na button ya power ambayo nikibonyeza nazma fridge au nawasha fridge
Sasa ninacho omba kwa mwenye uelewe juu ya hv vtu hanijuze hapo hzo zna maana gan na je kama nikitaka kugandisha maji kuwa barafu natakiwa ni wekeje...???
Nimeambatanisha na picha hapo chini kwa uelewa zaidi
Natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni ufahamu zaidi juu ya hiki kifaa
Hii ni friedge ama fridge freezer kampuni ya siemens sasa nikifungua mlango wa fridge kwa juu nakuta hiki kifaa ambacho na imani cha ku setting kiwango cha kugandisha nafikiri japo sina uta alamu nimeleta kwenye mnijuze
Ukiangalia hiki kifaa hapo kwenye picha upande wa kushoto imeanza na button iliyo anikwa SUPER ikifuatiwa na button iliyo andikwa MAX
halafu ikifuatiwa na button ambazo zipo kwa alama ya negative (-) halafu kuna namba namba hzo zimeanzia kubwa kushuka chini yani -22 -20 -18 -16 halafu ikifuatiwa na button iliyo andikwa alama ya Centigrade ikamalizikia na button ya power ambayo nikibonyeza nazma fridge au nawasha fridge
Sasa ninacho omba kwa mwenye uelewe juu ya hv vtu hanijuze hapo hzo zna maana gan na je kama nikitaka kugandisha maji kuwa barafu natakiwa ni wekeje...???
Nimeambatanisha na picha hapo chini kwa uelewa zaidi
Natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app