B bievinii JF-Expert Member May 12, 2021 712 737 Aug 24, 2021 #1 Habari, Nina mwanangu ana mwaka na miezi kadhaa huwa anslilia simu yangu naombeni elimu ya kutanya ili asifute vitu vyangu mule maana ye anagusa popote tu.
Habari, Nina mwanangu ana mwaka na miezi kadhaa huwa anslilia simu yangu naombeni elimu ya kutanya ili asifute vitu vyangu mule maana ye anagusa popote tu.
hashimrashidy Senior Member Sep 11, 2015 197 145 Aug 24, 2021 #2 Kids home Kids palace Zipo playstore kama una androids
Pyaar JF-Expert Member Feb 11, 2018 15,340 75,512 Aug 26, 2021 #3 Mwaka na miezi mbona bado mdogo sana kuanza kuchezea simu. Kwanini asinunuliwe toys tofauti na hizo gadgets.
Mwaka na miezi mbona bado mdogo sana kuanza kuchezea simu. Kwanini asinunuliwe toys tofauti na hizo gadgets.
Jumbe Brown JF-Expert Member Jun 23, 2020 12,077 12,756 Aug 26, 2021 #4 Mwanga wa simu kwa mtoto mchanga ni hatari.... Mtafutie toys ambazo hawezi akameza na zisizoweza "kuchambuka"....
Mwanga wa simu kwa mtoto mchanga ni hatari.... Mtafutie toys ambazo hawezi akameza na zisizoweza "kuchambuka"....