Recent content by Hasadi

  1. H

    Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

    Humu wamejaa wanajeshi vilaza ndo wanaojibu majibu ya viroba eti jeshi nikujitolea hakuna mshahara hebu serikali isiwalipe miezi miwili tu tuone huo uzalendo wenu mnaousema na kujitolea kwenu unakuta wanajeshi wanaburuza vitambi eti nawenyewe wanajitolea hahahaha tanzania raha sana kuishi
  2. H

    JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

    Polisi ni wasimamizi wa sheria koo jw wakija huku uraiani wanafikiri wapo makambini hawataki kufata sheria anakutana na polisi analazimishwa kufata sheria ndo maana wanawachukia polisi
  3. H

    JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

    Hivi kati ya mwanajeshi na police ffu nani anakaa na siraha muda mwingi wale wanajeshi kazi yao fatiki za kufagia na kufyeka makambini lindo inchage ndo anaebeba smg yenye risasi ambae mwenye cheo kuanzia cpl
  4. H

    Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

    Police kuipata nyota lazima uwe na degree na umefanya kazi zaidi ya miaka mitatu. jwtz wao kuipata nyota ni kuanzia form six ya devision 4 na kuendelea
  5. H

    JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

    Jwtz ilikua zamani sio saivi wengi asikari mshahara hata huko depo wanawapa rushwa wale wakufunzi wanalala tu eti unaambiwa huyu asikari katoka depo ukimcheki bado raia kabisa ila macombati tu yamembeba hana lolote
  6. H

    JWTZ na Polisi mna ugomvi gani usioisha!

    Hivi kuwa jw au polisi ndo unawauwezo wakupiga kila mtu kupigana by hand ni fani nyingine kuna jw alishawahi mzingua trafic kwamba anachelewesha foleni alikua na gari ya jw akashuka kutaka kumpiga trafic alikula ngumi moja tu chali aliambika vibaya
  7. H

    Daladala wagoma Kariakoo baada ya dereva mwenzao kupigwa risasi na polisi

    Kwann atake kumgonga asikari tena yuko na silaha kama ndo mm yakichwa ni halali yake angegongwa huyo asikari na silaha ikaenda mgechangia kama mnavyochangia acheni unafiki
  8. H

    Mtoto wa Diamond na kitu cheusi mkononi..

    Sio kigoma tu niutamaduni karibia mikoa mingi tu watoto hufungwa hivyo viuzi mkononi na kiunoni
  9. H

    Polisi Wauana Kwa Risasi Jijini Mwanza Wakiwa Lindoni

    Uko sawa kabisa jamaa nimstarabu sana alikua hana makuu na mtu
  10. H

    Polisi Wauana Kwa Risasi Jijini Mwanza Wakiwa Lindoni

    Aliepingwa risasi ndo alikua graduate
  11. H

    Waziri Mkuu Majaliwa apiga marufuku mikutano ya kisiasa

    Sasa ww umeshindwa eti unaenda kuwashukuru wananchi kama sio kutafuta uchokozi tu na utawala uliopo madarakani hahahaaa hebu tuache mambo mengine ya kijinga tujenge nchi
  12. H

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    Huko wote wanywa viroba watu wa arusha moshi wanaongoza kwa ulevi
  13. H

    RPC wa Mwanza Charles Mkumbo, apandishwa cheo

    huyo mtoa mada ni me au ke nakama kweli we mfuasi wa chadema bac mkapa hakukosea mkumbo hajapanda cheo bali kahamishwa kituo cha kazi acheni kuleta story za kwenye kahawa humu mmekosa hoja mnakurupuka tu msiba umeisha safari hii sijui mtamuua nani ilimpate tena kusikika
  14. H

    Polisi watawanya waombolezaji kwa Baba mzazi wa Alphonce Mawazo, familia yalaani kitendo hicho

    hayo matukio yalitokea mwanza? acheni ujinga mbona mabina aliekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza alipouwawa hawakwenda kuagia mwili wake furahisha?
Back
Top Bottom