Millya C.V ya LL.M ina mashaka 'Hapa nilipo nina shahada ya pili katika Sheria za Haki za binadamu na demokrasia niliyoipatia katika vyuo vikuu vya Pretoria, Afrika Kusini na American University of Cairo.'
Masters moja vyuo vikuu viwili, nchi mbili tofauti na siyo affiliate ya chuo kingine...
The Decision is in hands of the Government of Tanzania, either to sue her officers and others involved in the scandal or to assume Bongo Tambarare as usual.
Thread hii haina manufaa kwa watanzania wanaoona mbali. Inabomoa badala ya kujenga. Inajenga hisia potofu miongoni mwa watanzania. Msiikumbatie wakubwa wa mtandao huu.
Usahihi ni kwamba Mauaji yamefanyika nje ya Manispaa ya Musoma Kata ya Buhare Kitongoji cha Mugaranjabo na siyo TARIME. Mazishi yamefanyika asubuhi ya saa tano na Watuhumiwa watatu wameshakamatwa katika Kijiji cha Nyegina, Musoma Vijijini..
Mtoa hoja ni mchanga wa historia ya nchi hii.Tanzania kabla ya vita na Uganda tuliishi kwa shibe na amani. Ni baada ya 1980 ndo dhiki ilianza. Nchi haikuwa na wataalam wa kutosha wala teknolojia iliyo juu kama ya sasa. Benchmarking inaangalia timeframe, industry na aina ya firm.Mtoa mada kalewa...
Ahmadnejad si Punguani.
Ana elimu ya kutosha, Masters holder. Mwanasiasa aliyepevuka, Wamarekani wamemshindwa. Mbali na plot nyingi walizomfanyia ikiwa pamoja na kumpandikizia vibaraka wa upinzani. Anaendesha taifa lake Kisayansi. Ni mkweli na si bendera fuata upepo. Punguani ni yule asiyeyaona...
The comments made by former/ retired President of Kenya, Daniel Arap Moi when hosted by President Museveni in Uganda are optimistically accepted but politically nurtured, because they do not suffice the development thirst of Ugandans. Museveni has done a lot in Uganda by using too much...
MAFISADI Wana DINI na ni WANASIASA sema implementation ndo sifuri.
Ni Wakaidi wa imani zao na sera za vyama vyao.
Mfano, Bilioni ni vijisenti, nguo kufuliwa London, Kuagiza bidhaa kwa kukwepa ushuru kwa jina la dhehebu ktk maghala yao ya Kurasini DSM.
President Kikwete is The Best of The Best! Has nothing to go antagonistically with Catholic Church, neither a Mosque! Kilaini transfer is normal staffing procedure of the Church strategic level. Waraka huo ni wa wahuni si wa kanisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.