Haruna Malima
Member
- Jun 26, 2009
- 56
- 7
Usahihi ni kwamba Mauaji yamefanyika nje ya Manispaa ya Musoma Kata ya Buhare Kitongoji cha Mugaranjabo na siyo TARIME. Mazishi yamefanyika asubuhi ya saa tano na Watuhumiwa watatu wameshakamatwa katika Kijiji cha Nyegina, Musoma Vijijini..