Baraza la taiza la kusimamia mzingila Tanzania mtukumbuke na sisi wa uswahili
Naomba kuwakilisha kero zetu hapa jukwaani kuhusu haya mabaa yanapiga mziki mkubwa tena kwenye makazi ya watu imekuwa ni kero
Kuna bar zipo hapa mbagala chamazi
1. Inaitwa MANCHIRA
2. Inaitwa KAPAKA
Hizi bar ni...
Star times wapo vizuri azam ameteka soko kwa sababu anaonesha ligi ya bongo ndio kinachombeba kama star times atanunua haki ya matangazo kuonesha ligi kuu Tanzania bado kila mtu atakikimbilia kisimbuzi cha star tomes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.