Recent content by hard core

  1. hard core

    National Environment Management Council (NEMC) - Tanzania MTUKUMBUKE NA SISI WA USWAHILI

    Baraza la taiza la kusimamia mzingila Tanzania mtukumbuke na sisi wa uswahili Naomba kuwakilisha kero zetu hapa jukwaani kuhusu haya mabaa yanapiga mziki mkubwa tena kwenye makazi ya watu imekuwa ni kero Kuna bar zipo hapa mbagala chamazi 1. Inaitwa MANCHIRA 2. Inaitwa KAPAKA Hizi bar ni...
  2. hard core

    Kwa kasi hii ya Azam Wachina wa StarTimes wajiandae kufungasha virago?

    Star times wapo vizuri azam ameteka soko kwa sababu anaonesha ligi ya bongo ndio kinachombeba kama star times atanunua haki ya matangazo kuonesha ligi kuu Tanzania bado kila mtu atakikimbilia kisimbuzi cha star tomes
  3. hard core

    Tuliosoma mchikichini tution tukutane hapa tukumbushie vituko tulivyokutana navyo

    moddy physics commissioner yupo na anapiga mapindi kama kawaida ilala boma
  4. hard core

    Yanga yashusha kifaa hatari afrika nzima

    Muda ndio nini sasa hilo galasa tu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. hard core

    Sijawahi kuona mwanamke mgumu hivi

    Muendee kwa babu tu ukamkaange
  6. hard core

    Jamaa aliyenyang'anywa demu na Harmo Rapa licha ya kumgharamia kila kitu aenda studio kulia

    Hao wote wanatafuta kiki tu kama mchezo wa kuigiza
  7. hard core

    Gari la Maji taka lamwaga kinyesi Ubungo Mataa

    Itakuwa watoto wa mjini walidhani tanki la mafuta labda
  8. hard core

    Nimekuta mafuta ya KY na babycare kwenye mkoba wa mchumba wangu

    Hapo watu wanaruka ukuta mara nyinqi hayo mafuta hutumika kupiqia sodoma na gobomola kule
  9. hard core

    Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

    hapo atoe mwenyewe mahari kwa kuwa kiwambo ndani wameshakitoa kama hataki ajisepeshe mwenyewe
  10. hard core

    Mahari shilingi milioni 5?

    kweli kuoa ujipange kwa sasa
  11. hard core

    Mashoga wapewe adhabu gani ili tabia hii iishe?

    Wapigwe mawe mpaka wafe tu
Back
Top Bottom