Siku chache zilizopita wahusika wa mradi wa mabasi yaendayo kasi walitoa onyo kwamba vyombo vingine vya usafiri ukiacha mabasi yenyewe visitumie barabara za mradi huo kwani madereva wa mabasi hayo watakua wakifanya mazoezi. Kutokana na madereva wengi wa daladala kutojali maelekezo hayo...
Kwahiyo iyo safari ya mwaka jana inayowahusisha Mukya na KUB ndio imelifikisha Taifa letu apa lilipo? Kama jibu lako ni 'ndio' kuna haja gani ya JPM kuwatumbua majipu viongozi wa serikali ya sisiem? Siangetumbua tu hawa wawili mambo yakae sawa na maisha yaendelee! Kama jibu lako ni 'hapana' uko...
Ahsante mkuu. Na kwakuthibisha iki ulichokisema kuna jipu moja lilikua kwenye bodi ambayo juzi tu JPM kaivunja, chakushanga ilo jipu limeenda kumkalia spika pembeni
Wakuu heshima kwenu.
Nina gx 110 ya mwaka 2001. Ukiwa kwenye speed zaidi ya 100 km/hr alafu ukakanyaga brake uskani unatetemeka. Speed inapopungua mpaka 80 km/hr usukani unatulia. Tatizo linaweza kuwa ni nini wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.