Wadau naomba msaada mahali wanapouza vipuri na kufanya service ya Magari aina ya Benz na BMW kwa Dar es Salaam.
Ninavyo genuine from Germany dukani kwangu JR Auto Parts karibu sana
Wadau naomba msaada mahali wanapouza vipuri na kufanya service ya Magari aina ya Benz na BMW kwa Dar es Salaam.
Mkuu fuso yako ina engine gani?Wanabodi,
Heshima mbele. Kwa yoyote anayefahamu reputable website za Japan za kuagiza spare parts za magari (used and new) naomba atupie hapa. Nina Fuso mashine inanisumbua nataka niivue niweke nyingine.
Asanteni..
Vipuri vya magaru tunauza kwa bei ya jumla jumla, tupo Dar,
Kwa mawasiliano piga namba 0673260293
nahutaji taa ndogo ya chini kwnye bampa ya harier highbred ya kushoto mkuuNauza used spare parts yeyote ya magari ama spare parts mpya,iwe engine mpaka kitu chochote,ila kwa makubaliano maalum,iwe bmw,volkswagen,range rover,merecdes,jeep etc.kwa aliye na mahitaji anaweza ni pm.
Vvti,ntapata namba yako mkuuGx100 ina engine aina mbili kuna 1G kavu na 1G vvti yako ni ipi?
Ila bei zote ni sawa 1.2M Tshs
Mkuu baterry used N70 nitapata kwa pesa ngapiNauza used spare parts yeyote ya magari ama spare parts mpya,iwe engine mpaka kitu chochote,ila kwa makubaliano maalum,iwe bmw,volkswagen,range rover,merecdes,jeep etc.kwa aliye na mahitaji anaweza ni pm.
Norse cut utapata mkuu kwa 800KNahitaji half cut ya mbele ya vitz old model,kiasi gani wakuu???
Hata nose cut pia sio mbaya
Norse cut utapata mkuu kwa 800K
Mlango ntakupatia kwa 300K na madgud 90KSawa,pamoja na mlango wa dereva wa kulia na shavu la kulia kwa ujumla na hyo norse cut unaweza kunifanyia kiasi gani,top top kabisa
Mlango ntakupatia kwa 300K na madgud 90K