Mkuu kupata nafasi ya chuo ,si tu kufaulu pekee yake,kuna issue kama za competition kwa vitu alivyoomba,kaeni chini m apply upya,bila hivyo ni tatizo lingine
Mashart ya mkopo yana vipqumbele vyake kama ulichokitaja, sawa lakini at end of the day mkopo unaanza kulipwa baada ya kipindi fulan baada ya masomo na hakisem mtu asilipe kisa hana ajira watu walipe ili wengine wa some
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.