Sina hela lakini wanawake wananitongoza

Sina hela lakini wanawake wananitongoza

Sina hela ila natongozwa (ni aina gani ya sentensi)

Sentensi kunjiano Mkuu au nimekosea?
Hakuna sifa hapo kwenye hivyo sentesi. Sentensi hiyo inaweza kueleza mambo mengi moja wapo ni kuwa unaweza usiwe na hela lakini ukatongozwa, zipo sababu zingine zinazomfanya mtu atongozwe mbali na hela.
 
Sentensi kunjiano Mkuu au nimekosea?
Hakuna sifa hapo kwenye hivyo sentesi. Sentensi hiyo inaweza kueleza mambo mengi moja wapo ni kuwa unaweza usiwe na hela lakini ukatongozwa, zipo sababu zingine zinazomfanya mtu atongozwe mbali na hela.
Neno sina hela,.........
Lakini natongozwa.......nenda na hizi sentensi tataki udsm au bakita watakuelewesha vizuri.......au aliyesoma kiswahili vizuri atapita hapa atakuelewesha vema
 
Utakuwa na vinasaba vya kike mkuu,

Kutongozwa ni kuwa na vinasaba vya kike?
Mtume Muhamad alipotongozwa na Bi. Khadija alikuwa na Vinasaba vya kike?
Yusuph alipotongozwa na mke wa Potipha alikuwa na vinasaba vya kike?

Unaposema Vinasaba unazungumzia nini Mkuu Huenda unakahoja unataka kueleza?

Ukijibu hayo kwa usahihi nitafuta mtazamo wang kwako kuhusu uwezo wako wa akili.
 
Neno sina hela,.........
Lakini natongozwa.......nenda na hizi sentensi tataki udsm au bakita watakuelewesha vizuri.......au aliyesoma kiswahili vizuri atapita hapa atakuelewesha vema

Mwenywe nimesoma kiswahili na nimebobea hapo. Huko Tataki nilishaingia sana kipindi natafuta shahada ya kwanza. Nitawezaje kurudi kuuliza jambo dogo kama hilo ilhali lipo uchi kabisa. Hakuna sifa hapo.
 
Neno sina hela,.........
Lakini natongozwa.......nenda na hizi sentensi tataki udsm au bakita watakuelewesha vizuri.......au aliyesoma kiswahili vizuri atapita hapa atakuelewesha vema


Sina hela lakini natongozwa
Sikusoma lakini nimefaulu
Sijala chakula lakini nimeshiba
 
Sina hela lakini natongozwa
Sikusoma lakini nimefaulu
Sijala chakula lakini nimeshiba
😀😀😀 Dr Sigara anakuja soon.....sina hela ila natongozwa,neno natongozwa ni adjectives au kivumishi kinachoelezea zaidi sifa ya nomino
Sina hela lakini natongozwa
Sikusoma lakini nimefaulu
Sijala chakula lakini nimeshiba
 
Ndio mara yakobya kwanza kumuona huyo mwanamke?..kwani we huishi maeneo hayo?..
 
MMU mupooo!!

Hivi wanawake wanapenda nini hasa. Nitakuwa wa mwisho kuamini wanawake wanapenda hela kutokana na tabia wanayonionyeshea. Mimi ni kijana wa umri wa kati. Sina pesa, sina gari wala nyumba lakini pamoja na hivyo wanawake wamekuwa wakinitongoza. Haiwezi kupita wiki bila kupata mdada mpya atayejilengesha akitaka ni mlambe Ulolo.

Wanawake wanaojilengesha ni wanawake wenye kazi zao. Walioajiriwa katika vitengo vyenye wadhifa. Kama haitoshi ni wanawake wafanyabiashara zilizoendelea kiasi.

Kilichonifanya niandike huu uzi!

Jana jioni nikiwa hoi taabani narejea nyumbani nikapitia kwenye duka moja lililopo mtaa wa mtatu toka ninapoishi. Nilimkuta Mdada mmoja mwenye miaka kama 28-32. Alikuwa na mtoto wake wa miaka kama minne hivi. Nikachukua unga wa dona nusu kilo na mazaga zaga mengine. Wakati ananipimia unga akaniambia; unampelekea wifi akakukorofishie ee! Nikamjibu naenda kukorofisha mwenyewe. Hapa akaacha kupima na sasa alikuwa tunatizamana. Nioe mimi au hujanipenda. Nina mtoto mmoja, au hujanipenda, eti wewe mkaka.

Kwa waliowahi kupitia hali hii wanaweza kuelewa mtu akiambiwa maneno hayo na mwanamke anabaki katika pozi lipi. Nilimwambia sawa. Mara naomba namba yako basi. Hapa nilikataa. Haiwezekani demu sina mazoea naye na ndio siku ya kwanza kuongea naye alafu nimpe namba kirahisi hivyo. Alinisihi sana huku akisema yeye ni mwanamke mpiganaji sana kwenye maisha ila amekosa tu mwanaume wakumuoa.

Kwa habari ya muonekano ni mwanamke mweupe mwenye mapaja makubwa kiasi na matako makubwa. Ni mzuri sana ila uzuri wake nilitamani niuone akiwa na miaka 18- 25. Ana kigari kidogo cha watoto - Vitz.

Nitakuwa wa mwisho kuamini wanawake wanapenda hela.

joka Jeusi kwa sasa yupo Mbaroni kwa tuhuma za kutoka na mke wa mtu.
ebu rudi kwanza ukampe namba alafu uje nikwambie kitu..
 
Mkuu huu ndo mda wako wakula matunda kuna mda utaonekana umechoka ko itumie nafasi vizuri,usikatae wakikutongoza
 
😀😀😀 Dr Sigara anakuja soon.....sina hela ila natongozwa,neno natongozwa ni adjectives au kivumishi kinachoelezea zaidi sifa ya nomino


mkuu sijawahi kuona kivumishi kama hicho. Embu niambie ni kivumishi cha nini? Alafu uniambie sifa za kivumishi ni ipi?
 
Ndio mara yakobya kwanza kumuona huyo mwanamke?..kwani we huishi maeneo hayo?..

Mkuu mi nna mishe zangu mara nying narud saa tatu usiku alafu hili duka liko mtaa wa tatu. Sijui umenielewa?
 
Back
Top Bottom