ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,648
Kugongewa mke wa ndoa uliyemuoa na wengine nje kunatokana na sababu mbili
1. Hajapata show ya uhakika yaani humgegedi vizuri unadandia kama unadonoa mahindi.
2. Humtunzi vizuri anakuomba hela ya kusuka humpi au humpi matumizi kabisa hata chupi mpya humnunulii anavaa zimetoboka sometime anazishona mpaka na Uzi mweusi. Sasa akikutana na wanaume huko wakampatia laki mbili unadhani kwanini asiwatunuku?
Na ukiona vyote unampa pesa na show mashambulizi ya maana na bado anatoka na mipango ya kando basi tambua ulioaga KAHABA.
1. Hajapata show ya uhakika yaani humgegedi vizuri unadandia kama unadonoa mahindi.
2. Humtunzi vizuri anakuomba hela ya kusuka humpi au humpi matumizi kabisa hata chupi mpya humnunulii anavaa zimetoboka sometime anazishona mpaka na Uzi mweusi. Sasa akikutana na wanaume huko wakampatia laki mbili unadhani kwanini asiwatunuku?
Na ukiona vyote unampa pesa na show mashambulizi ya maana na bado anatoka na mipango ya kando basi tambua ulioaga KAHABA.