Jesse Royal
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 323
- 469
Huna macho??Katisha nn?
Kuna kipaji gani hapo? hayo maboksi watoto wote wanaweza kutengeneza mtaani.Kwa bongo si ajabu baada ya mwaka ukamkuta ni muuza mkaa/mihogo kwa mtogole au ni bwana shamba Naliendele huko licha ya kuonesha kipaji chake ni kipi
Duh why wabongo tumekaa ki-hater hater muda wote.Kuna kipaji gani hapo? hayo maboksi watoto wote wanaweza kutengeneza mtaani.
Coz haters hawawezi kutengeneza hata Kijiko cha Mabox.Duh why wabongo tumekaa ki-hater hater muda wote.
Ni moja ya features za watu masikini.Duh why wabongo tumekaa ki-hater hater muda wote.
Duh why wabongo tumekaa ki-hater hater muda wote.
Panga na wewe tuoneKapanga mabox hayo kwa kuiga unasema katisha?
Kuna post jukwaa la jokes nadhani ni ukweli unaoishi.Ukiona unachukia chukia tu bila sababu mafanikio na matarajio ya wengine na huna sababu ya kufanya hivyo tambua wewe ni mchawi na una roho ya kichawi inaishi ndani yako.Labda ulichokosa ni tunguli tu.Hao madogo wanaoweza kuchonga hivyo mtaani wako wapi?mbona hawachongi?tofautisha kuchora na kuchonga.Kama wapo jamii ambamo wewe pia umo inafanyaje ili kuendeleza vipaji vyao?Mmesha muona mtoto ni mbunifu na msanifu majengo nyie mnampa sahani ya miguu ya kuku akauze badala ya kumsaidia akuze ndoto yake iwe kubwa zaidi na kuwa msaada zaidi.Lakini kama mnawaona wapo nanyi mnachukulia kawaida au ni michezo ya kitoto tu nyie ni wachawi kasoro tunguli mnaua wengine kwa kutokuchukua hatua na kuwajibika hata tu kuwaonesha kwa wengine wenyemaono zaidi ili kuwasaidia na kuwajenga watimize ndoto zao.Halafu jnakuja kifua mbele eti hakuna kipaji wewe mwenye kipaji umeunda nini?Uchawi tuKuna kipaji gani hapo? hayo maboksi watoto wote wanaweza kutengeneza mtaani.
Sasa unatuona tuna maendeleo? Roho mbaya, wivu, chuki, uongo, dharau zisizo na maana, kebehi, unafik, visasi, vyote vipo lini tutaendeleaDuh why wabongo tumekaa ki-hater hater muda wote.
unaishi wapi wewe hata usione watoto kibao wanatengeneza maboksi hayo, mi mwenyewe nimetengeneza sana hayo utotoni na haikua kipaji ni akili za kawaida tu kuangalia na kubandika bandika, angetengeneza kitu ambacho sijawahi kuona hapo kweli ningesema kipaji , wabongo acheni shobo, kwa hiyo unataka aendelezwe kutengeneza viwanja vya maboksi ? au unasema wale watoto wote wanaotengenza magari ya maboksi mtaani wanaweza kutengeneza gari ? au wanaotengeneza midoli ya udongo wanaweza kutengeneza robots ?Kuna post jukwaa la jokes nadhani ni ukweli unaoishi.Ukiona unachukia chukia tu bila sababu mafanikio na matarajio ya wengine na huna sababu ya kufanya hivyo tambua wewe ni mchawi na una roho ya kichawi inaishi ndani yako.Labda ulichokosa ni tunguli tu.Hao madogo wanaoweza kuchonga hivyo mtaani wako wapi?mbona hawachongi?tofautisha kuchora na kuchonga.Kama wapo jamii ambamo wewe pia umo inafanyaje ili kuendeleza vipaji vyao?Mmesha muona mtoto ni mbunifu na msanifu majengo nyie mnampa sahani ya miguu ya kuku akauze badala ya kumsaidia akuze ndoto yake iwe kubwa zaidi na kuwa msaada zaidi.Lakini kama mnawaona wapo nanyi mnachukulia kawaida au ni michezo ya kitoto tu nyie ni wachawi kasoro tunguli mnaua wengine kwa kutokuchukua hatua na kuwajibika hata tu kuwaonesha kwa wengine wenyemaono zaidi ili kuwasaidia na kuwajenga watimize ndoto zao.Halafu jnakuja kifua mbele eti hakuna kipaji wewe mwenye kipaji umeunda nini?Uchawi tu
Hahaaa ila we jamaa eti aendelezwe atengeneze viwanja vya maboksiunaishi wapi wewe hata usione watoto kibao wanatengeneza maboksi hayo, mi mwenyewe nimetengeneza sana hayo utotoni na haikua kipaji ni akili za kawaida tu kuangalia na kubandika bandika, angetengeneza kitu ambacho sijawahi kuona hapo kweli ningesema kipaji , wabongo acheni shobo, kwa hiyo unataka aendelezwe kutengeneza viwanja vya maboksi ? au unasema wale watoto wote wanaotengenza magari ya maboksi mtaani wanaweza kutengeneza gari ? au wanaotengeneza midoli ya udongo wanaweza kutengeneza robots ?