barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Ndio maana! Wenye akili wanatambua haya matamko na waraka.Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Mhe Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Lowassa, leo wameshiriki ibada ya Jumapili ya Matawi kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Azania Front Posta ya zamani jijini Dar es Salaam.
View attachment 724632 View attachment 724633
View attachment 724634