Ndugu unaishi dunia gani? Mambo ya kukariri yamepitwa na wakati hii ni dunia ya uwazi na ukweli na sio kuogopana nakushauri badirika ndugu bila hivyo utaonewa kila siku na kuwa mtumwa kwenye nchi yako
Sasa kimetokea nini mpaka kufikia kutokutaja majina mubashara kama tulivyomzoea Hali hiyo imekuja ghafla kunani hapo au michango mbalimbali ya wachangiaji imemfanya au imemshtua atambue kuwa sheria inamkataza kufanya hivyo au nini kimetokea? Na wale aliokwisha waanika matokeo yake ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.