Mwenyekiti wangu, Mfukuze Nape Uanachama Mara Moja

Ewe Mwenyekiti wangu wa chama Chetu pendwa CCM Dk John Magufuli tunaomba kwa kulinda heshima yetu ya serikali na chama tunaomba umfukuze Uanachama wa Chama Cha Mapinduzi Mbunge wa jimbo la Mtama Ndugu Nape Mnauye.

Tunashuhudia kijana huyu akikukosea heshima wewe, serikali na chama chetu.
Nape sio mtu wa kwanza kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri.
Walisha ondolewa Mawaziri wengi ambao mimi nimeshuhudia nikiijua siasa kipindi cha JK lakini sijawahi shuhudia Waziri aliye enguliwa kuendelea kuiandama serikali.

Juzi Kitwanga ulimtumbua lakini kwa heshima ya serikali na Chama Kitwanga alikaa kimya, na hakuzungumza chochote.

Tumeshuhudia Wakuu wa Mikoa wakiondolewa lkn hakuna hata mmoja aliye lalamika na kupiga makelele.

Kwa sasa Nidhamu yaa Nape ktk serikali yako na hata Chama imepungua, ni wazi kwamba huyu ni Mwanachama asiye mtiifu, asiye weza tunza siri za Chama na hata serikali.

Kwa heshima ya chama Chetu na hasa sisi wanachama ambao hatupendezwi na mambo anayofanya Nape tunaomba umvue uanachama.

Nakuomba Mwenyekiti wangu uwe jasiri katika hili, usiogope!!
Kukaa na nyoka ndani ipo siku atakuuma!!

Asante!!

General Mangi
Sioni faida kufukuza uanachama mtu kwakusema , kunahaja wanaoambiwa kujitafakari kwa faida yao na nchi.
 
Ukisoma post za unaccm huku wengi wanaonekana [HASHTAG]#wajinga[/HASHTAG] kabisa nape amesema ukweli
 
Nape ni generation ya kizazi kipya ndani ya CCM kwahiyo sio wa kumbeza alitumia kila aina ya mbinu kuhakikisha CCM imeshinda uchaguzi wa mwaka 2015. Hotuba kali ya Nape inaonyesha hali si nzuri ndani ya CCM kama mjuavyo Nape ni apprentice wa komrade kinana katika siasa.
Nape hana lolote kichwani mkuu, angalau Makamba kwa mbali, ila sio huyu kibuyu
 
Kwani amefanyaje mpaka afukuzwe. Mleta mada nawe usituletee habari zako za uchama hapa.kaongea ukweli Ina wasumbua sasa.
Nape tokea aanze kuongea ukweli. Nampenda bureeeee.
Hakuna alichokiongea Nape zaidi ya kurudia zile porojo alizozimwaga siku ile anatumbuliwa.

Nape is too young in politics, anyamazee
 
Hivi wewe unatumiwa na nani?au ni Akiliyako pekeyako?je kama ni Akili yako pekeyako unatafuta nini chini ya jua?
Sitafuti chochote mkuu!
Namshauri Mwenyekiti wangu wa CCM amfukuze Nape uanachama kwa nidham mbovu ndani ya chama.

Ukiwa mwana ccm wapaswa kuwa mvumilivu kwa kila jambo
 
Mbona Nape majukwani tunamsikia bado anainadi chama, labda lipi aliloliongea baya kwa mtukufu!!!! Hizi zama ni za chuma na teknolojia cyo ya mawe, nahisi bado upo zama za chuma ambapo mtukufu alikuwa hasemwi, hata ccm haina kitu kama hicho!!!
Hakinadi chama wala nini zaidi ya unafki na umbea wa kike mkuu
 
Ewe Mwenyekiti wangu wa chama Chetu pendwa CCM Dk John Magufuli tunaomba kwa kulinda heshima yetu ya serikali na chama tunaomba umfukuze Uanachama wa Chama Cha Mapinduzi Mbunge wa jimbo la Mtama Ndugu Nape Mnauye.

Tunashuhudia kijana huyu akikukosea heshima wewe, serikali na chama chetu.
Nape sio mtu wa kwanza kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri.
Walisha ondolewa Mawaziri wengi ambao mimi nimeshuhudia nikiijua siasa kipindi cha JK lakini sijawahi shuhudia Waziri aliye enguliwa kuendelea kuiandama serikali.

Juzi Kitwanga ulimtumbua lakini kwa heshima ya serikali na Chama Kitwanga alikaa kimya, na hakuzungumza chochote.

Tumeshuhudia Wakuu wa Mikoa wakiondolewa lkn hakuna hata mmoja aliye lalamika na kupiga makelele.

Kwa sasa Nidhamu yaa Nape ktk serikali yako na hata Chama imepungua, ni wazi kwamba huyu ni Mwanachama asiye mtiifu, asiye weza tunza siri za Chama na hata serikali.

Kwa heshima ya chama Chetu na hasa sisi wanachama ambao hatupendezwi na mambo anayofanya Nape tunaomba umvue uanachama.

Nakuomba Mwenyekiti wangu uwe jasiri katika hili, usiogope!!
Kukaa na nyoka ndani ipo siku atakuuma!!

Asante!!

General Mangi

Wewe mwenyewe unakiri kuwa Chama cha Mapinduzi ni Chama makini
Sasa wewe kwa mtazamo wako unaona kuna sababu yoyote yenye mashiko ya kumfukuza Nape; kwa chama makini kama CCM?
Labda kwa kutokukukatisha tamaa, tunaomba usiandike habari ya uchochezi
Andika habari yenye vigezo ukivianisha kuwa...amefanya namba 1, 2, 3, 4, 5, 6 nk ambayo ni kinyume na ilani ya CCM
Bila hivyo nionanyo mimi ccm haina haja yoyote ya kumfukuza huyu mtu...kuongea kwake ni hisia tu ambazo zingeweza kumjia mtu yeyote
 
Mtoa post weka wazi Nape anachokifanya
Mkuu mimi sina mahaba na ccm na hasa rais huyu... Ila anachokifanyA Nape ni Man to Man show...

Yani kifupi anatunishana mabavu na Magufuli live. Hili mimi sijawahi ona.

Laxima anatumwa na nafikiri tayari ana plan B.

Katamka maneno mankali sanaaa... Kifupi anamtuma Na kumfundisha Magufuli kazi.
 
Mkuu unatumia kigezo kipi kutambua uelewa wa nape.... Sioni uhalali wa kupima yaliyo ndani ya fikra za mtu na ' kibuyu'
Uelewa wa mtu unaweza kuupima kwa anayoongea au matendo yake!!

Mkuu mbona unauliza maswali hovyohovyoo??!!
 
Ewe Mwenyekiti wangu wa chama Chetu pendwa CCM Dk John Magufuli tunaomba kwa kulinda heshima yetu ya serikali na chama tunaomba umfukuze Uanachama wa Chama Cha Mapinduzi Mbunge wa jimbo la Mtama Ndugu Nape Mnauye.

Tunashuhudia kijana huyu akikukosea heshima wewe, serikali na chama chetu.
Nape sio mtu wa kwanza kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri.
Walisha ondolewa Mawaziri wengi ambao mimi nimeshuhudia nikiijua siasa kipindi cha JK lakini sijawahi shuhudia Waziri aliye enguliwa kuendelea kuiandama serikali.

Juzi Kitwanga ulimtumbua lakini kwa heshima ya serikali na Chama Kitwanga alikaa kimya, na hakuzungumza chochote.

Tumeshuhudia Wakuu wa Mikoa wakiondolewa lkn hakuna hata mmoja aliye lalamika na kupiga makelele.

Kwa sasa Nidhamu yaa Nape ktk serikali yako na hata Chama imepungua, ni wazi kwamba huyu ni Mwanachama asiye mtiifu, asiye weza tunza siri za Chama na hata serikali.

Kwa heshima ya chama Chetu na hasa sisi wanachama ambao hatupendezwi na mambo anayofanya Nape tunaomba umvue uanachama.

Nakuomba Mwenyekiti wangu uwe jasiri katika hili, usiogope!!
Kukaa na nyoka ndani ipo siku atakuuma!!

Asante!!

General Mangi
Na wewe ni walewale!
 
Back
Top Bottom