SALIM NI RAIS WA TANZANIA AMBAYE HAIKUWA RIZIKI
DOKTA Salim Ahmed Salim, alipoteuliwa kuwa Waziri Mkuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kilikuwa kipindi cha uhaba mkubwa wa bidhaa. Nguo, viatu, sabuni, dawa za meno, vilikuwa adimu.
Alikalia kiti baada ya kifo cha Edward Moringe Sikoine...