Hotuba nyingi za viongozi wa Afrika kwenye mkutano wa UN zimejaa malalamiko

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,319
12,622
Viongozi wa nchi zote za dunia wanakutana Marekani kwenye mkutano mkuu wa Baraza la usalama la umoja wa mataifa (General Assembly of United Nations). Hotuba nyingi za viongozi kutoka Afrika ni za malalamiko kuhusu nchi za Magharibi na Marekani kama chanzo Chao kikuu Cha matatizo kwenye nchi zao. Hotuba nyingi za viongozi wetu ni kuhusu wazungu kutotimiza ahadi zao za kutoa mapesa kwa nchi za Afrika kugharimia miradi Yao, madeni makubwa wanayodaiwa na ukosefu wa masoko na technology.

Bahati mbaya sijamsikia kiongozi wetu hata mmoja akizungumzia shida wanazozisababisha wao wenyewe kama vile:
1. Kuiba kura kwenye chaguzi
2. Kung'ang'ania madarakani
3. Wizi wa mali za wananchi wao na ubadhilifu.
4. Matumizi mabaya ya mikopo wanayopewa.
5. Kushindwa kukusanya kodi
6. Rushwa kwenye nchi zao.
7. Viongozi kujiwekea kinga za kutokushitakiwa.

Bahati mbaya nchi za Magharibi wanayajua madhaifu yote ya viongozi wa Afrika, ndio maana wakati wa hotuba za viongozi kutoka Afrika Wazungu wengi wanapuuza na wanatoka nje.

Afrika hawana mshipa hata mmoja wa aibu, kazi Yao ni kuwanyooshea vidole nchi za Western na kusahau udhaifu wao kwanza.

Mfano, nani anawazuia nchi za Afrika kuuziana bidhaa wao kwa wao kwa kutumia fedha zao. Nani kawazuia waafrika kuondoa VISA kati ya nchi na nchi ili watu Waafrika wawe huru kwenda na kutoka nchi nyingine ya ya Africa kufanya kazi au biashara? Nani kawazuia waafrika wasilime chakula Chao? Nani kawazuia kukusanya kodi?
 
Nimeona Hadi hao wanajeshi kina doumbia wa guinea anasema democracy imekuwa msamiati kwao ,kwmab Africa swla la democracy haliwezekani analazimisha kuaminisha kuwa waafrica wanapazwa kuchagua njia Yao ya kujitawal na siyo hyo democracy ambayo imekuwa Ni utamaduni wa kimagharibi
 
Viongozi wa nchi zote za dunia wanakutana Marekani kwenye mkutano mkuu wa Baraza la usalama la umoja wa mataifa (General Assembly of United Nations). Hotuba nyingi za viongozi kutoka Afrika ni za malalamiko kuhusu nchi za Magharibi na Marekani kama chanzo Chao kikuu Cha matatizo kwenye nchi zao. Hotuba nyingi za viongozi wetu ni kuhusu wazungu kutotimiza ahadi zao za kutoa mapesa kwa nchi za Afrika kugharimia miradi Yao, madeni makubwa wanayodaiwa na ukosefu wa masoko na technology.

Bahati mbaya sijamsikia kiongozi wetu hata mmoja akizungumzia shida wanazozisababisha wao wenyewe kama vile:
1. Kuiba kura kwenye chaguzi
2. Kung'ang'ania madarakani
3. Wizi wa mali za wananchi wao na ubadhilifu.
4. Matumizi mabaya ya mikopo wanayopewa.
5. Kushindwa kukusanya kodi
6. Rushwa kwenye nchi zao.
7. Viongozi kujiwekea kinga za kutokushitakiwa.

Bahati mbaya nchi za Magharibi wanayajua madhaifu yote ya viongozi wa Afrika, ndio maana wakati wa hotuba za viongozi kutoka Afrika Wazungu wengi wanapuuza na wanatoka nje.

Afrika hawana mshipa hata mmoja wa aibu, kazi Yao ni kuwanyooshea vidole nchi za Western na kusahau udhaifu wao kwanza.

Mfano, nani anawazuia nchi za Afrika kuuziana bidhaa wao kwa wao kwa kutumia fedha zao. Nani kawazuia waafrika kuondoa VISA kati ya nchi na nchi ili watu Waafrika wawe huru kwenda na kutoka nchi nyingine ya ya Africa kufanya kazi au biashara? Nani kawazuia waafrika wasilime chakula Chao? Nani kawazuia kukusanya kodi?
Hayo wamesaidia kusemewa na mwamba mmoja Mamouduo,Dhoumbaya😂😂😂😂🏃🏃.Mwamba wa Afrika kwa niaba ya wengine kiboko ya Mfaransa na wakoloni wote.
 
Viongozi wa nchi zote za dunia wanakutana Marekani kwenye mkutano mkuu wa Baraza la usalama la umoja wa mataifa (General Assembly of United Nations). Hotuba nyingi za viongozi kutoka Afrika ni za malalamiko kuhusu nchi za Magharibi na Marekani kama chanzo Chao kikuu Cha matatizo kwenye nchi zao. Hotuba nyingi za viongozi wetu ni kuhusu wazungu kutotimiza ahadi zao za kutoa mapesa kwa nchi za Afrika kugharimia miradi Yao, madeni makubwa wanayodaiwa na ukosefu wa masoko na technology.

Bahati mbaya sijamsikia kiongozi wetu hata mmoja akizungumzia shida wanazozisababisha wao wenyewe kama vile:
1. Kuiba kura kwenye chaguzi
2. Kung'ang'ania madarakani
3. Wizi wa mali za wananchi wao na ubadhilifu.
4. Matumizi mabaya ya mikopo wanayopewa.
5. Kushindwa kukusanya kodi
6. Rushwa kwenye nchi zao.
7. Viongozi kujiwekea kinga za kutokushitakiwa.

Bahati mbaya nchi za Magharibi wanayajua madhaifu yote ya viongozi wa Afrika, ndio maana wakati wa hotuba za viongozi kutoka Afrika Wazungu wengi wanapuuza na wanatoka nje.

Afrika hawana mshipa hata mmoja wa aibu, kazi Yao ni kuwanyooshea vidole nchi za Western na kusahau udhaifu wao kwanza.

Mfano, nani anawazuia nchi za Afrika kuuziana bidhaa wao kwa wao kwa kutumia fedha zao. Nani kawazuia waafrika kuondoa VISA kati ya nchi na nchi ili watu Waafrika wawe huru kwenda na kutoka nchi nyingine ya ya Africa kufanya kazi au biashara? Nani kawazuia waafrika wasilime chakula Chao? Nani kawazuia kukusanya kodi?
Hahahaa
 
Viongozi wa nchi zote za dunia wanakutana Marekani kwenye mkutano mkuu wa Baraza la usalama la umoja wa mataifa (General Assembly of United Nations). Hotuba nyingi za viongozi kutoka Afrika ni za malalamiko kuhusu nchi za Magharibi na Marekani kama chanzo Chao kikuu Cha matatizo kwenye nchi zao. Hotuba nyingi za viongozi wetu ni kuhusu wazungu kutotimiza ahadi zao za kutoa mapesa kwa nchi za Afrika kugharimia miradi Yao, madeni makubwa wanayodaiwa na ukosefu wa masoko na technology.

Bahati mbaya sijamsikia kiongozi wetu hata mmoja akizungumzia shida wanazozisababisha wao wenyewe kama vile:
1. Kuiba kura kwenye chaguzi
2. Kung'ang'ania madarakani
3. Wizi wa mali za wananchi wao na ubadhilifu.
4. Matumizi mabaya ya mikopo wanayopewa.
5. Kushindwa kukusanya kodi
6. Rushwa kwenye nchi zao.
7. Viongozi kujiwekea kinga za kutokushitakiwa.

Bahati mbaya nchi za Magharibi wanayajua madhaifu yote ya viongozi wa Afrika, ndio maana wakati wa hotuba za viongozi kutoka Afrika Wazungu wengi wanapuuza na wanatoka nje.

Afrika hawana mshipa hata mmoja wa aibu, kazi Yao ni kuwanyooshea vidole nchi za Western na kusahau udhaifu wao kwanza.

Mfano, nani anawazuia nchi za Afrika kuuziana bidhaa wao kwa wao kwa kutumia fedha zao. Nani kawazuia waafrika kuondoa VISA kati ya nchi na nchi ili watu Waafrika wawe huru kwenda na kutoka nchi nyingine ya ya Africa kufanya kazi au biashara? Nani kawazuia waafrika wasilime chakula Chao? Nani kawazuia kukusanya kodi?
Ukweli ni Huu kifupi ni Aibu mie mtazamo wangu naona Trump alikuwa sahihi juu yetu watu weusi AFRIKA yote imejaa vituko kutoka kwa hao watawala wetu mie Binafsi naona uko ntakuja kuzikwa tu.
20230914_060636.jpg
 
Wazungu ndio chanzo cha matatizo bila kuwachukua utumwa babu zetu na kuchukua mali zetu Africa tulikuwa huru na tunajitegemea.
Wazungu ndio wanawapambania hao viongozi wabovu waendelee kukuaa madarakani na kusainishana nao mikataba ya kinyonyaji.
Angalia viongozi bora kutoka Africa waliishia wapi kama sio jela na kuuawa?
Viongozi wengi wanaingia madarakani kwa nia njema lakini wanatolewa relini na ukoloni mambo leo.
 
Lawama zitabaki palepale kwa nchi za kibeberu, hawa jamaa huwa hawataki kiongozi wa Africa anayejielewa, ukiingia madarakani ukawa na msimamo mkali wa kizalendo watakuletea zengwe tu! Hasa wakiona unaleta maproject makubwa ya ukombozi wa Kiuchumi ujue kabisa roho yako umeiweka rehani au nchi yako itadhoofishwa na makundi ya kigaidi, au kuwekewa vikwazo vya kijinga kijinga tu. Kama unataka ku-transform nchi Yako jitoe sadaka kwaajili ya Nchi yako.
 
Viongozi wa nchi zote za dunia wanakutana Marekani kwenye mkutano mkuu wa Baraza la usalama la umoja wa mataifa (General Assembly of United Nations). Hotuba nyingi za viongozi kutoka Afrika ni za malalamiko kuhusu nchi za Magharibi na Marekani kama chanzo Chao kikuu Cha matatizo kwenye nchi zao. Hotuba nyingi za viongozi wetu ni kuhusu wazungu kutotimiza ahadi zao za kutoa mapesa kwa nchi za Afrika kugharimia miradi Yao, madeni makubwa wanayodaiwa na ukosefu wa masoko na technology.

Bahati mbaya sijamsikia kiongozi wetu hata mmoja akizungumzia shida wanazozisababisha wao wenyewe kama vile:
1. Kuiba kura kwenye chaguzi
2. Kung'ang'ania madarakani
3. Wizi wa mali za wananchi wao na ubadhilifu.
4. Matumizi mabaya ya mikopo wanayopewa.
5. Kushindwa kukusanya kodi
6. Rushwa kwenye nchi zao.
7. Viongozi kujiwekea kinga za kutokushitakiwa.

Bahati mbaya nchi za Magharibi wanayajua madhaifu yote ya viongozi wa Afrika, ndio maana wakati wa hotuba za viongozi kutoka Afrika Wazungu wengi wanapuuza na wanatoka nje.

Afrika hawana mshipa hata mmoja wa aibu, kazi Yao ni kuwanyooshea vidole nchi za Western na kusahau udhaifu wao kwanza.

Mfano, nani anawazuia nchi za Afrika kuuziana bidhaa wao kwa wao kwa kutumia fedha zao. Nani kawazuia waafrika kuondoa VISA kati ya nchi na nchi ili watu Waafrika wawe huru kwenda na kutoka nchi nyingine ya ya Africa kufanya kazi au biashara? Nani kawazuia waafrika wasilime chakula Chao? Nani kawazuia kukusanya kodi?
ni kweli wamelalama sana.

Lakini pia yapo mambo ya msingi sana na ya maana wanayo yalalamikia mathalani kuhusu udhaifu wa taasisi za kidunia kama vile UN na Barazani la usalama katika kuchukua hatua katika majanga na migogoro duniani,

Kadhalika kutokua na usawa wa uwakilishi kwa Taasisi za kidunia kama vile WB, IMF, UN Security Council baina ya Africa, America, Asia, Ulaya n.k
hii imezorotesha utekelezaji wa mambo mengi sana na hata imefikia mahali inaonekana mfano anachafua mazingira mwingine halafu mwingine anapewa fedha za kutunza mazingira.

Rejea 17 Sustainable Development Goals utagundua na kubaini vizuri sana malalamiko yenye mantiki ya viongozi wa Africa huko UN.
Shukran kwa bandiko.
 
Wazungu ndio chanzo cha matatizo bila kuwachukua utumwa babu zetu na kuchukua mali zetu Africa tulikuwa huru na tunajitegemea.
Wazungu ndio wanawapambania hao viongozi wabovu waendelee kukuaa madarakani na kusainishana nao mikataba ya kinyonyaji.
Angalia viongozi bora kutoka Africa waliishia wapi kama sio jela na kuuawa?
Viongozi wengi wanaingia madarakani kwa nia njema lakini wanatolewa relini na ukoloni mambo leo.
Ni kweli, lakini ndio tushindwe kabisa hata kusafisha mitaro yetu mitaani? ndio tushindwe kupangana kwenye maeneo tunakojenga makazi? Ndio tuwapatie kinga ya kutoshitakiwa viongozi wote wenye uwezo wa kutuibia rasilimali zetu? Ndio tushindwe kuwasimamia watu wetu kuvuna maji yanayopotea kwenye mapaa ya nyumba zao? Ndiyo tushindwe kuwalisha watu wetu?. Haya nayo yanahitaji pesa za kigeni?
 
Lawama zitabaki palepale kwa nchi za kibeberu, hawa jamaa huwa hawataki kiongozi wa Africa anayejielewa, ukiingia madarakani ukawa na msimamo mkali wa kizalendo watakuletea zengwe tu! Hasa wakiona unaleta maproject makubwa ya ukombozi wa Kiuchumi ujue kabisa roho yako umeiweka rehani au nchi yako itadhoofishwa na makundi ya kigaidi, au kuwekewa vikwazo vya kijinga kijinga tu. Kama unataka ku-transform nchi Yako jitoe sadaka kwaajili ya Nchi yako.
Hiyo ni kweli, hata JPM alipojifanya ananunua ndege kwa pesa tasilimu na kujenga barabara na reli ya umeme, mabeberu wakamtangazia kuwa Tanzania imeingia uchumi wa kati. Kuingia uchumi wa kati maana haye huhitaji misaada wala mikopo ya riba nafuu inayotolewa kwa nchi maskini. Hii ilikuwa njia ya kumkomesha na wala sio kweli kwamba uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kiasi hicho. Lakini, hii haisababishi nchi kuingia mikataba mibovu ya uwekezaji kwenye madini, gesi, nk, hiyo haisababishi nchi kushindwa kukusanya kodi kikamilifu, kupanga miji na ardhi yake kwa matumizi mbalimbali, kuzoa takataka au ...... Leo hii vinapimwa ardhi ya viwanja tu lakini haipimwi ardhi kwaajili ya kilimo, ufugaji na viwanda. Ardhi ya kilimo inageuzwa kuwa ardhi ya makazi huko vijijini, sijui watalima wapi.
 
ni kweli wamelalama sana.

Lakini pia yapo mambo ya msingi sana na ya maana wanayo yalalamikia mathalani kuhusu udhaifu wa taasisi za kidunia kama vile UN na Barazani la usalama katika kuchukua hatua katika majanga na migogoro duniani,

Kadhalika kutokua na usawa wa uwakilishi kwa Taasisi za kidunia kama vile WB, IMF, UN Security Council baina ya Africa, America, Asia, Ulaya n.k
hii imezorotesha utekelezaji wa mambo mengi sana na hata imefikia mahali inaonekana mfano anachafua mazingira mwingine halafu mwingine anapewa fedha za kutunza mazingira.

Rejea 17 Sustainable Development Goals utagundua na kubaini vizuri sana malalamiko yenye mantiki ya viongozi wa Africa huko UN.
Shukran kwa bandiko.
Kama nchi za Afrika zikitaka misaada mingi kutoka nchi za Magharibi ni sawa na kutaka nchi za Magharibi zituibie sana rasilimali zetu. Sio kweli kabisa kwamba pesa wanazotumia kuyafadhili mashirika ya umoja wa mataifa na misaada/mikopo wanayotupatia inatokana na kodi ya walipakodi wao, lahsha!!! Pesa hizi zinatokana na dhuluma na faida kubwa kwenye biashara za dunia zisizo na uwiano wa haki, kutaifisha mali za watu na nchi nyingine, riba kubwa za mikopo wanayotukopesha, kupora mali za nchi wakati na baada ya vita, kuwapunja malipo wahamiaji wanaofanyakazi kwao, na mikataba ya kinyonyaji. Waafrika wasifikiri kuwa pesa wanazopewa ni kodi za wazungu, noooo! Wazungu hawana cha bure.
 
Wazungu ndio chanzo cha matatizo bila kuwachukua utumwa babu zetu na kuchukua mali zetu Africa tulikuwa huru na tunajitegemea.
Wazungu ndio wanawapambania hao viongozi wabovu waendelee kukuaa madarakani na kusainishana nao mikataba ya kinyonyaji.
Angalia viongozi bora kutoka Africa waliishia wapi kama sio jela na kuuawa?
Viongozi wengi wanaingia madarakani kwa nia njema lakini wanatolewa relini na ukoloni mambo leo.
Suluhisho liko Afrika kwenyewe braza. Sasa hivi ni rahisi kwa mtanzania kuingia Uingereza kuliko kuingia Nigeria au Msumbiji na Angola. Kwanini wafrika watumie sarafu za wazungu kununua bidhaa kutoka nchi za Afrika? Kwanini kiongozi aibe kura ili asababishe watu kuzozana na kupigana wenyewe kwa wenyewe, kwanini kiongozi aende akajenge mahekalu yake binafsi kwa fedha za wananchi au za mikopo? Wazungu wanahusikaje na haya?
 
Wazungu ndio chanzo cha matatizo bila kuwachukua utumwa babu zetu na kuchukua mali zetu Africa tulikuwa huru na tunajitegemea.
Wazungu ndio wanawapambania hao viongozi wabovu waendelee kukuaa madarakani na kusainishana nao mikataba ya kinyonyaji.
Angalia viongozi bora kutoka Africa waliishia wapi kama sio jela na kuuawa?
Viongozi wengi wanaingia madarakani kwa nia njema lakini wanatolewa relini na ukoloni mambo leo.
Wazungu sawa, Lakini wazungu wamesababishaje maghorofa kariakoo yajengwe bila kuwa na parking?

View: https://www.youtube.com/watch?v=VZCODvXURdA
 
Viongozi wa nchi zote za dunia wanakutana Marekani kwenye mkutano mkuu wa Baraza la usalama la umoja wa mataifa (General Assembly of United Nations). Hotuba nyingi za viongozi kutoka Afrika ni za malalamiko kuhusu nchi za Magharibi na Marekani kama chanzo Chao kikuu Cha matatizo kwenye nchi zao. Hotuba nyingi za viongozi wetu ni kuhusu wazungu kutotimiza ahadi zao za kutoa mapesa kwa nchi za Afrika kugharimia miradi Yao, madeni makubwa wanayodaiwa na ukosefu wa masoko na technology.

Bahati mbaya sijamsikia kiongozi wetu hata mmoja akizungumzia shida wanazozisababisha wao wenyewe kama vile:
1. Kuiba kura kwenye chaguzi
2. Kung'ang'ania madarakani
3. Wizi wa mali za wananchi wao na ubadhilifu.
4. Matumizi mabaya ya mikopo wanayopewa.
5. Kushindwa kukusanya kodi
6. Rushwa kwenye nchi zao.
7. Viongozi kujiwekea kinga za kutokushitakiwa.

Bahati mbaya nchi za Magharibi wanayajua madhaifu yote ya viongozi wa Afrika, ndio maana wakati wa hotuba za viongozi kutoka Afrika Wazungu wengi wanapuuza na wanatoka nje.

Afrika hawana mshipa hata mmoja wa aibu, kazi Yao ni kuwanyooshea vidole nchi za Western na kusahau udhaifu wao kwanza.

Mfano, nani anawazuia nchi za Afrika kuuziana bidhaa wao kwa wao kwa kutumia fedha zao. Nani kawazuia waafrika kuondoa VISA kati ya nchi na nchi ili watu Waafrika wawe huru kwenda na kutoka nchi nyingine ya ya Africa kufanya kazi au biashara? Nani kawazuia waafrika wasilime chakula Chao? Nani kawazuia kukusanya kodi?

Hayo unayoyasema, kamwe hutaweza kuyasikia kwa hawa watawala wa Afrika kwa sababu Afrika inatawaliwa na watu waovu walioyatafuta madaraka ili watende uovu wao bila ya kuhojiwa wala kusumbuliwa na mtu yeyote.

Viongozi wa Afrika karbia wote, ni majizi, wala rushwa na watoaji wa rushwa pia.

1) Haiwezekani kiongozi mwovu aruhusu uwepo wa katiba nzuri kwa sababu itamwondoa.

2) Haiwezekani kiongozi mwovu aruhusu demokrasia au utawala wa sheria kwa sababu watu watamwondoa.

3) Kiongozi mwovu ni lazima aweke sheria ya kumlinga katika uovu wake, la sivyo ataishia jela.

Ndiyo maana hata wananchi wapige kelele namna gani, CCM hawawezi kukubali kuondoa kinga dhidi ya kutoshtakiwa ya Rais, Spika, Mwanasheria Mkuu, Waziri Mkuu au Makamu wa Rais. Kwa sababu uovu wa hao viongozi, kwa namna fulani unaisaidia CCM.
 
Back
Top Bottom