Recent content by hameez

  1. H

    Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

    Wagawa uchi kqa kupenda kupewa shukrani mfyuuuuuu...kumbe ulikua unampigia diamond ili akupe shukurani.ndo matatizo ushazoea kuvuliwa chupi na kupewa shukurani
  2. H

    Makongoro atoa shukrani kwa maprofesa na wanafunzi UDSM kwa udhamini wao kwake

    Nkurumah ipi.tunaomba picha zinazoonesha eneo zima la tukio maana by law ya UDSM hairuhusu mambo ya siasa kufanyikia ndani ya chuo
  3. H

    CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

    Hii ndo tanzania muuza dagaa kaja kufanya projection ya uchumi.eti sukari toka tsh 2200 mpk 4000,,,lol uwe unauliza kwanza kabla ya kupost pumba zako
  4. H

    Vijana wa CCM wacheza mpira kutwa zima uwanjani ili kuzuia mkutano wa CHADEMA

    Unatakiwa kujua kwamba kabla ujapewa uwanja kuna taratibu zinafatwa.kwanza ukubaliane na mwenye uwanja alaf ufate taratibu za kisheria na kiusalama zinazohusika.ukishamaliza taratibu na ukakubaliwa hao vijana hata wakiamua kucheza wiki watacheza ila ikifika muda wako watakaa kando mtafanya siasa...
  5. H

    Vijana wa CCM wacheza mpira kutwa zima uwanjani ili kuzuia mkutano wa CHADEMA

    Sio kila jambo lazima ulete jf huo utakua umbea tena mtoto wa kiume ukiwa mbea jiandae kuliwa ,hzo tabia muachie dada yako
  6. H

    Rostam ameanza mkakati wa kuwanunua wajumbe wa NEC ya CCM ili kumuunga mkono January Makamba

    Kwa ufupi mtoa mada hujuwi historia ya siasa za tanzania.sijui umetokea wapi na dhana zako zisizo na ushahidi..........hoja zako nyepesi kama goma la buguruni
  7. H

    Kati ya mdogo wa marehemu mke wangu na mchepuko wangu nimuoe nani?

    Hivi ukiambiwa kuna wanaume mafala bassi ww utakua kwenye hyo list,,,,,kamuulize baba mkwe wako et kati ya mchepuko wako na mwanae nani ummege
  8. H

    Waziri Mkuu Morrocco aja juu kuhusiana na show ya Jennifer Lopez iliyoonyeshwa live kwenye TV!

    Hajataja mambo ya imani hapo ww .uyo kavunja maadili na heshima ya taifa lao hvo lazima apewa za uso.nyie ndo endeleeni kukaa nchi ambayo mnamwagiwa radhi mbele ya watoto na wazazi wenu
  9. H

    Vitu mwanaume anavyotakiwa kuwa ameshavifanya akifikia miaka 30

    Awe na ujasiri wa kutosha wa kushuka chumvini.....
  10. H

    Ni haki kufunga mitaa ya umma kwa ibada binafsi?

    Wivu sina ila roho inaumaaaaa🎶🎶 Wivu uzaa chuki.. Ukiona barabara imefungwa tambua kuna kibali maalum.na barabara zinazofungwa uwa zina mbadala wake...pole manina zako ukitoka kwenye barabara utahamia spika zinapiga kelele alfajiri...
  11. H

    Ajira wametufukuza: Tunafunga virago kurudi nyumbani tukalime

    Pole sana ndugu yangu ,ilo swala lako ngumu sana .nina uzoefu na hyo kitu kwa sasa bila vyeti wala transcript jiandae kukosa mshahara.nina ndugu yangu kakutana na janga kama lako kapoteza muda na pesa kibao huko tamisemi ila aliambulia patupu tangu mwaka jana.kinachohutajika ni namba za cheti na...
  12. H

    Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

    Ukiangalia vzr mapambano mawili ya mwisho ya mayweather utaona jinsi gani hii game atapoteza coz raundi za mwanzo anapigwa sana sasa kwa kasi ya Pac man lazima akae.
  13. H

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Forca barca forca barca mwaka huu tunanyanyua kwapa mara 3
  14. H

    Cheti cha chuo UDSM

    Njoo ulipe deni la ada unalodaiwa ndo utatumiwa
Back
Top Bottom