Unatakiwa kujua kwamba kabla ujapewa uwanja kuna taratibu zinafatwa.kwanza ukubaliane na mwenye uwanja alaf ufate taratibu za kisheria na kiusalama zinazohusika.ukishamaliza taratibu na ukakubaliwa hao vijana hata wakiamua kucheza wiki watacheza ila ikifika muda wako watakaa kando mtafanya siasa...
Kwa ufupi mtoa mada hujuwi historia ya siasa za tanzania.sijui umetokea wapi na dhana zako zisizo na ushahidi..........hoja zako nyepesi kama goma la buguruni
Hajataja mambo ya imani hapo ww .uyo kavunja maadili na heshima ya taifa lao hvo lazima apewa za uso.nyie ndo endeleeni kukaa nchi ambayo mnamwagiwa radhi mbele ya watoto na wazazi wenu
Pole sana ndugu yangu ,ilo swala lako ngumu sana .nina uzoefu na hyo kitu kwa sasa bila vyeti wala transcript jiandae kukosa mshahara.nina ndugu yangu kakutana na janga kama lako kapoteza muda na pesa kibao huko tamisemi ila aliambulia patupu tangu mwaka jana.kinachohutajika ni namba za cheti na...
Ukiangalia vzr mapambano mawili ya mwisho ya mayweather utaona jinsi gani hii game atapoteza coz raundi za mwanzo anapigwa sana sasa kwa kasi ya Pac man lazima akae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.