Mi sioni tija katika kuhalalisha sigara na pombe alafu ukakataza bangi.hata tukicompare cons na pros za hivi vitu vitatu ganja ndo itakuwa ina madhara machache na faida nyingi zaidi.kwa taarifa yenu,tokea dunia iumbwe haijawahi tokea mtu akafa kwa sababu ya kuvuta mmea wetu adhimu.so legalise...
Hamna haja ya ubishi mwingi.kama unaweza leta kitabu kinachoshabihiana kwa namma yoyote na quran nitaaamini kuwa ni project ya binaadamu.au kama unaweza kutoa kasoro yoyote ndani yake
Duterte anafanya kitu kinaitwa extra judicial killings nadhani huwezi kuelewa kwa sababu unaongea vitu usivyovijua.historia ya duterte na mauaji ya wauza unga bila kesi inaanzia kipindi anashikilia umeya ea davao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.