Recent content by hamada

  1. H

    JamiiForums Tanzania Kwa tume hii: Muungano umevunjwa rasmi

    Ama kweli wewe Mpayukaji, labda jiulize kabla ya muungano ilikuwa na uchumi gani mpaka Nyerere alihisi tishio kwake na kulazimisha huu muungano feki ? Bora kujitawala hata kama utakuwa maskini kuliko kutawaliwa. Hayo mambo ya UUnguja na Upemba yalipandikizwa na Watanganyika na ndio maaana...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Kwa tume hii: Muungano umevunjwa rasmi

    Babuu, nadhani hujafuatilia mambo tunavyoyaanika hadharani huku Zenji, imefka hadi mmeshtaki kwa Police kwamba tunawanyanyasa kwa kuwaita Watanganyika ktk makongamano yetu. Mimi nimeshangaa huyu Kikwete kujipendekeza kwetu na tayari khabari ameshaipata kutoka Bwawani Hotel, Viwanja vya Kisonge...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Hatma ya Mahanga kujulikana Mei 2, 2012!

    Lazima atoswe muhuni huyu, lakini Gamba litahakikisha linauwa kesi kidesign. Loh..! kazi ipo. Kapata kura 43,554 na Mpendazoe kura 39,150 ???????, wizi mtupuuu.:shock:
  4. H

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu dhidi ya "Baadhi ya wananchi wahuni" wa Arusha kujaribu kuzuia wanahabari wa TBC

    Msilaumu kapata uloda wa Gamba huyo.
  5. H

    JamiiForums Tanzania Zanzibar waunda baraza la mitihani

    Kitu cha mamako kichogo cha Tanganyika weee! kafundishwe adabu mwanaharamu wee, unawajua wapemba?
  6. H

    JamiiForums Tanzania Maandamano Makubwa Kufanyika Kesho Kupinga Mahakama kutumiwa kisiasa

    CDM kwishaaaaaa! mmepewa kiti 1 na ccm wamevuta kiti1= fifty fifty
  7. H

    JamiiForums Tanzania Zanzibar waunda baraza la mitihani

    Wacha kujipendekeza, hii post haiwafai hwa jamaaa ona sasa kejeli zao, mbuzi weeee.
  8. H

    JamiiForums Tanzania Serikali iachane na chaguzi ndogo - Mtatiro

    Kumbe liliwauma namna hioo! Loh......... ! Hamkuwasikia CDM walivosema huko Uzini "SMZ hairuhusu makanisa kujengwa ZNZ ", wewe utajenga je makanisa na hali waumini wenyewe wakupandikizwa wacheni unafiki Watanganyika (CDM), ZNZ ina utamaduni wake wakiislamu na haturuhusu makanisa na vilabu vya...
  9. H

    JamiiForums Tanzania CUF Hawana Option Nyingine, ni Kujitoa Muafaka

    CDM inawashtuwa CCM tena huko Tanganyika na sio Zenji, CUF shida ytu ni Zenji na sio Tanganyika, fuatilia mihadhara na makongamano huku Zenji ndio utajua kama Wazenji wana hamu ya upuuzi wenu au la....
  10. H

    JamiiForums Tanzania CUF Hawana Option Nyingine, ni Kujitoa Muafaka

    CUF ni mwiba wa CCM na CDM huku Zenji na malengo yake ni kuikomboa Zenji iwe huru kama ilivokuwa kabla 26April1964, Baada ya hapo tuna piga stop vyama vingi. Mimi nashangaa Watanganyika mnavyojihangaisha. CUF haina haja hata ya kiti cha udiwani huko mrima shida yetu ni Zenji tu wacheni porojo...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Dk Shein apangua baraza la mawaziri Zanzibar

    Shein kausiwa asithubutu kumuondoa Shamhuna kwa 7babu anasiri nyingi za CCM huku Zenji za wizi wa kura na Ufisadi miaka yte ya uchaguzi 1995-2010, ndio maana hawawezi kumkosa ni kama uji na mgonjwa.
  12. H

    JamiiForums Tanzania MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    Furaha ya CDM itaishia ndani ya mtungi, hapa ninawaona magamba wamepause akina Sioi na kikosi kamili hawana wasiwasi kamavle anasuburi kuapishwa. Inaaaminika kikosi kazi kimepelekwa baadhi ya vijiji kudhibiti hali, CDM subirini tiktaka ya kweli.
  13. H

    JamiiForums Tanzania MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    Utajamba wewe muda huu, utakapopandisha presha kwa mweleka wa kiaina wa magamba.
  14. H

    JamiiForums Tanzania MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    Tutawanig'iniza kama popo, jipeni moyo CDM mutakimbia si muda mrefu hapa JF. Taarifa nilizonazo mpaka muda huu mgombea wa CDM (Nasari) anaelekea kukubali kushindwa wakati Slaa na wenzake wameanza kuufyata na kuelekea Dar.
Back
Top Bottom