Kwa kweli Chadema imewashtua sana CUF. Chadema inakua kama moto wa kichaka wakati CUF inazidi kudorora. Muafaka hasa ndio umeiua CUF maana wanamezwa na CCM na ni vigumu kuitofautisha CUF na CCM. Angalieni hata uchaguzi mdogo Znz hawakuonyesha jitihada zozote. Je, wana option gani?
Kwa maoni yangu, kuendelea na muafaka na CCM wataporomoka kwa pamoja. Ni sawa na watu wawili kwenye boti moja watazama kwa pamoja. CCM na CUF watagawana kura Chadema itachukua kiulaini sana nchi 2015. What to do? Wajitoe wajitegemee
Kwa maoni yangu, kuendelea na muafaka na CCM wataporomoka kwa pamoja. Ni sawa na watu wawili kwenye boti moja watazama kwa pamoja. CCM na CUF watagawana kura Chadema itachukua kiulaini sana nchi 2015. What to do? Wajitoe wajitegemee