CUF Hawana Option Nyingine, ni Kujitoa Muafaka

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Kwa kweli Chadema imewashtua sana CUF. Chadema inakua kama moto wa kichaka wakati CUF inazidi kudorora. Muafaka hasa ndio umeiua CUF maana wanamezwa na CCM na ni vigumu kuitofautisha CUF na CCM. Angalieni hata uchaguzi mdogo Znz hawakuonyesha jitihada zozote. Je, wana option gani?

Kwa maoni yangu, kuendelea na muafaka na CCM wataporomoka kwa pamoja. Ni sawa na watu wawili kwenye boti moja watazama kwa pamoja. CCM na CUF watagawana kura Chadema itachukua kiulaini sana nchi 2015. What to do? Wajitoe wajitegemee
 
CUF ni mwiba wa CCM na CDM huku Zenji na malengo yake ni kuikomboa Zenji iwe huru kama ilivokuwa kabla 26April1964,
Baada ya hapo tuna piga stop vyama vingi. Mimi nashangaa Watanganyika mnavyojihangaisha.
CUF haina haja hata ya kiti cha udiwani huko mrima shida yetu ni Zenji tu wacheni porojo zenu. Mtizameni Hamad Rashid ni mtu muhumu lakini hatumuhitaji kwasababu ya kukiuka msingi ya CUF.
 
CDM inawashtuwa CCM tena huko Tanganyika na sio Zenji, CUF shida ytu ni Zenji na sio Tanganyika,
fuatilia mihadhara na makongamano huku Zenji ndio utajua kama Wazenji wana hamu ya upuuzi wenu au la....
 
Hawa watu ni watu wasioaminika, na sikitika ni kwanini nyerere alim-trust karume na kumwondoa john okello? Lakini wanasahau kuwa pindi tukijitoa tu zenj haitaonekana katika ramani ya dunia, itabaki makunduchi, nungwi, bububu,mchambawima, donge, chake,gando n.k kwani kila sehemu itatangaza uhuru wake. Nadahani wengi tunatakiwa tuwasamehe kwa kutokiona kinachowasumbua
 
Ukitaka kutoa hoja kuwa mdadisi kwanza sio unaropoka tu.hivi ujui km serikal ya umoja wa kitaifa ipo kihalal na wazanzibar wny wametoka kuwa iwe hivo!!! Pia unatakiwe ujue ht km CDM watapata muwakilishi 1 watajumuisha kwny serikal ya umoja wa kitaifa na hawawez kukutaa kwa7bu ipo kwa mujibu wa katiba.
Unapozungumzia jitihada unakusudia nin?nafikir ww hupajui znz huijui uzini.uzin ni ngome ya ccm.cuf walikuwa hawaruhusiwi ht kufanya mkutano ilikuwa ni vurugu tu kilichotokea uchaguz uliopita pale uzin ni ushindi kwa cuf wameweza kupata kura 232 ambazo hawajawah kuzipata pale pia ni hasara kwa CDM coz mwaka 2010 ulipata kura 630 lkn mwaka 2012 walipata kura 282.
 
sipotazagi muda kusoma thread za ovyo,sijui kwa nini nimeisoma hii?kapige mswaki na miswaki ya kisasa sio swaki la jiti!
 
Sipo upande wowote ule katika hili lakini nikikumbuka yale mauaji na machafuko ya uchaguzi wa Zenji 2000,kwa kweli makubaliano ya pamoja kati ya CUF na CCM yalikuwa ni muhimu vinginevyo tungeshuhudia maafa makubwa zaidi 2010!!
 
CUF ni mwiba wa CCM na CDM huku Zenji na malengo yake ni kuikomboa Zenji iwe huru kama ilivokuwa kabla 26April1964,
Baada ya hapo tuna piga stop vyama vingi. Mimi nashangaa Watanganyika mnavyojihangaisha.
CUF haina haja hata ya kiti cha udiwani huko mrima shida yetu ni Zenji tu wacheni porojo zenu. Mtizameni Hamad Rashid ni mtu muhumu lakini hatumuhitaji kwasababu ya kukiuka msingi ya CUF.

Nadhani dhambi itakayonihukumu ni hii ya kuwachukia Wazenji, kama nisipotubu. Nachukia dharau zenu na nawachukia mnavyoona mnalazimishwa muungano.
Kama mnaona huu muungano unawazingua si muuvunje? Cowards!!
 
Nendeni zenu na zenji yenu nyinyi hamna lolote,cuf cuf mara watanganyika'vunjeni muungano hata sisi wabongo hatuwataki mnakaa kupiga zogo kwenye social network'hamjaona wenzenu sudan kusini walifanya nn wakapata uhuru?fanyeni na nyinyi kutwa watanganyika wanatubana wanatunyanyasa wakati boat zote za kuja dar mmejaa nyinyi tu mnakimbia maisha magumu kwenu'kweli baniani mbaya arudishwe india'mimi pia siwapendi hawa jamaa kama wanavyotuchukia'na zenj kwenyewe nimewahi kwenda mara 1 sijaona cha maana wala chakuvutia zaidi ya vijiwe vya majungu nendeni na zenj chenu hata sisi hatuwapendi'mkishaanza kuingia dar kwa visa ndo tutaheshimiana
 
CUF ni mwiba wa CCM na CDM huku Zenji na malengo yake ni kuikomboa Zenji iwe huru kama ilivokuwa kabla 26April1964,
Baada ya hapo tuna piga stop vyama vingi. Mimi nashangaa Watanganyika mnavyojihangaisha.
CUF haina haja hata ya kiti cha udiwani huko mrima shida yetu ni Zenji tu wacheni porojo zenu. Mtizameni Hamad Rashid ni mtu muhumu lakini hatumuhitaji kwasababu ya kukiuka msingi ya CUF.

Sina shaka na maneno yako, Juzi nimekutana na Jamaa mmoja ambaye mwanzo nilidhani ni mwarabu toka Arabia lakini kumbe ni mwarabu wa Pemba, Mazungumzo yetu yalianza kwa tone ya kwaida na kirafiki kabisa, akaanza kwa kulalamika kwamba anachukia sana kuona Muungano unaifanya Zanzibar kuwa kama mkoa, nikamuambia kwamba Lakini si kuna serikali ya Zanzibar, tone ikabadirika, akawa mkali kweli kweli, pale ofisini kwake kaweka picha ya mwalimu, akaanza kuisonta anasema huyo mzee ndio kaitia zanzibar umasikini huyo, kwa hasira sana akasema, wakati zanzibar inapata uhuru ilikuwa na reserve kubwa sana ya dollar kutokana na biashara ya karafuu, huyo mzee alitumia pesa yote kwenye vita ya IDD Amini, nikamuuliza, kwani wewe haukuona umuhimu wa Tanzania kumfukuza Idd Amini kutoka kwenye Ardhi yake, akaniangaliaaa kisha akasema I do not care, what I know is, if it were not that Mzee Zanzibar ingekuwa Dubai sasa.

Alikuwa amekasirika sana na kwa kuepusha shari Mke wangu akanisihi nisiendelee na hiyo mazungumzo, namshukuru mungu baadae mtoto wake alikuja kuniambia nisimuelewe vibaya baba yake, huwa anahulka ya kuongea kwa asira sana akiwa naexpress kitu, sikujibu kitu pia.

Kitu kimoja nakijua, kama ambavyo Watanzania bara wameamua kuiunga mkono CHADEMA kuindoa CCM madarakani vivyo hivyo watu wa kisiwa cha pemba wameamua kuiunga mkono CUF ili si kuiondoa madarakani CCM pekee bali na kujitoa kabisa katika muungano.

Tatizo, ni kwamba ubaguzi tunaoufanya watanzania Bara dhidi ya CCM unatofauti kubwa sana na ule wa watu wa kisiwa cha Pemba dhidi ya CCM. huu wa kisiwa cha pemba huwa unanifanya nisiiunge mkono dhana ya SAUTI YA UMA.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kwani CUF si jitihada za Maalimu kupatia ajira wapemba kuna ziada? Walisema wakiingia serekalini hakutakuwa na shida ya dawa Mnazi mmoja hospital, leo nenda hospital ya mnazi mmoja uone kama dawa zipo. Walisema wakiingia serekalini Wazanzibar hawatakula mapembe bali watapata mchele safi kutoka mbeya, haya nenda madukani muone kama mapembe na mbeya mchele unaonunuliwa ni mchele gani? In fact Lipumba and Mtatiro ni kanyaboya tu, CUF ni ya Maalimu. Mtatiro njoo CHADEMA tuikomboe Tanganyika yetu
 
Kuna watu wanadharau thread/analysis yangu ila binadamu tuntofautiana kufikiri. Si vema kutumia lugha ya kejeli kwa hoja za mtu mwingine. Ila kama kweli kuna mtu haoni kwamba muafaka wa CUF na CCM umeiumiza sana CUF kisiasa basi huyo mtu ana uwezo mdogo sana wa kuangalia mambo. Sidhani kama CUF ilishawahi kupoteza umaarufu kiasi hiki tangia vyama vingi vianze. Nasisitiza, kwa vile CUF wana ndoa na CCM, watadondoka kwa pamoja
 
Kwa kweli Chadema imewashtua sana CUF. Chadema inakua kama moto wa kichaka wakati CUF inazidi kudorora. Muafaka hasa ndio umeiua CUF maana wanamezwa na CCM na ni vigumu kuitofautisha CUF na CCM. Angalieni hata uchaguzi mdogo Znz hawakuonyesha jitihada zozote. Je, wana option gani?

Kwa maoni yangu, kuendelea na muafaka na CCM wataporomoka kwa pamoja. Ni sawa na watu wawili kwenye boti moja watazama kwa pamoja. CCM na CUF watagawana kura Chadema itachukua kiulaini sana nchi 2015. What to do? Wajitoe wajitegemee

Nionavyo mimi usalama wa CUF upo ndani ya muafaka, endapo wakijitoa kwenye muafaka ndio mwisho wao kwani machoni mwa wananchi, tena huku bara ndio hawana swaga kabisa, hawana jipya zaidi ya kusubiri 2015 kuzikwa.. poleni sana wanaCUF.
 
Mtatiro njoo cdm
ukagombee kule
mara utashinda
lakini huko uliko
ni ndoto ya ali
nacha.

Mtatiro ni limbukeni wa siasa, kijana mdogo but hana vision. anapoteza muda wake huko CUF kama ana akili timamu atimke huko aliiko!
 
Ukitaka kutoa hoja kuwa mdadisi kwanza sio unaropoka tu.hivi ujui km serikal ya umoja wa kitaifa ipo kihalal na wazanzibar wny wametoka kuwa iwe hivo!!! Pia unatakiwe ujue ht km CDM watapata muwakilishi 1 watajumuisha kwny serikal ya umoja wa kitaifa na hawawez kukutaa kwa7bu ipo kwa mujibu wa katiba.
Unapozungumzia jitihada unakusudia nin?nafikir ww hupajui znz huijui uzini.uzin ni ngome ya ccm.cuf walikuwa hawaruhusiwi ht kufanya mkutano ilikuwa ni vurugu tu kilichotokea uchaguz uliopita pale uzin ni ushindi kwa cuf wameweza kupata kura 232 ambazo hawajawah kuzipata pale pia ni hasara kwa CDM coz mwaka 2010 ulipata kura 630 lkn mwaka 2012 walipata kura 282.

huu ndio ulimbukeni ambao kwa kweli unakera sana sana...eti ngome ya CCM....cuf hawakuruhusiwa kufanya mkutano....MMMh! hivi unajua unachosema kweli ww? na ngome ya cuf iko wapi? Pemba? okay! ndio maana wabunge wengi wanaotokea Znz uwezo, perfomance zao huwa ziko chini.....inasikitisha sana. Zinduka
 
Back
Top Bottom