Mtatiro na viongozi wenzako wa CUF mmeshindwa jenga chama chenu sasa wenzako wamekutuma mawazo ya kipuuzi kama haya ili chaguzi ndogo zifutwe kusitiri aibu yenu?! Haya sasa ktk Katiba Mpya akirudishwa mgombea binafsi,akifariki arithi nani? Mke ama watoto? Sikujua kama ni mufilisi wa kisiasa kiasi hiki!
Let the parties involved use their own cash... (no ruzuku for anybody) tax payers money will be saved that way...Tusipoangalia hii hoja imetoka kwa nani, nadhani tunaweza kuijadili vizuri.
Serikali inaingia gharama sana na hizi chaguzi za kila siku. Watanzania tunakufa mno na nafasi za kuchaguliwa ni nyingi mno vile vile. Miaka mitano hii tutafanya chaguzi mpaka tutakinai
Kuna Muakilishi wa CCM kwenye Baraza la Wawakilishi la Zanzibar jimbo la Bububu amekufa mwezi uliopita, mwezi ujao kutakuwa na uchaguzi huko
Tunahitaji kukaa chini kama taifa na kutafakari namna ya kuokoa hizi fedha zinazotumika kwenye chaguzi ndogo
Kumbe mtu unaweza kuwa taahira ukubwani? Sasa huyu naye ametumwa kuisemea CCM? Au kwa vile ni mke wa magamba? Uchaguzi mdogo haukwepeki. Vinginevyo tuseme kama Mbunge akifariki basi mgombea wa chama kilichoshika nafasi ya pili achukue nafasi hiyo moja kwa moja kwa maana huyu naye alikuwa anatakiwa na wananchi. Shida inayoambatana na hili ni ujuzi wa magamba kutumia Pollolium, sijui kama watu watabaki?!!
wewe umenenaLet the parties involved use their own cash... (no ruzuku for anybody) tax payers money will be saved that way...
Mawakala walipwe na vyama vyao tabulation ifanyike vyama vyote vikiwepo (kama vyama havina pesa its about time waanze kutafuta cheap ways to do it)
Mbona anaongelea kutorudiwa kwa Uchaguzi wa ubunge pekee, Udiwani je! mbona hauongelei? Nao usirudiwe? Najua kwa vile amepata kule Tanga.
Acheni unafiki, mbona hamuishi vituko nyie. Kule Uzini mkasema vile, leo mnakuja na stori zingine. Ngoja itokee chaguzi ndogo Pemba kisha tuone ikiwa hamtatia timu.
Karibu ataanza kuuza karanga kwani amenunua kofia la wauza karanga.kichwani zero kama lusinde!R.i.p cuf
Kumbe liliwauma namna hioo! Loh......... !
Hamkuwasikia CDM walivosema huko Uzini "SMZ hairuhusu makanisa kujengwa ZNZ ", wewe utajenga je makanisa na hali waumini wenyewe wakupandikizwa wacheni unafiki Watanganyika (CDM), ZNZ ina utamaduni wake wakiislamu na haturuhusu makanisa na vilabu vya pombe kama huko kwenu.