JK anategemea kufanya mabadiliko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni, lakini katika mabadiliko hayo anategemea kuongeza ukubwa wa baraza la mawaziri na wala si kulipunguza.
Shein kausiwa asithubutu kumuondoa Shamhuna kwa 7babu anasiri nyingi za CCM huku Zenji za wizi wa kura na Ufisadi miaka yte ya uchaguzi 1995-2010, ndio maana hawawezi kumkosa ni kama uji na mgonjwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.