wa tarime tanzania
Member
- Apr 1, 2012
- 62
- 18
mbona hata hujulikani unaongea nini wewe?wapewa habari ndio wamekataa habari tatizo liko wapi?
Comments kama hizi zinatofauti gani na matusi ya Lema na Lusinde?
Huyu ni mpuuzi tu aliyeweka uchafu wake hapa,anaonakwa mtazamo wake tungefikisha ujumbe kwa namna gan? hiyo ndiyo njia sahihi ya kufikisha ujumbe ndiyo maana hata yeye ambaye ni Gamba ujumbe umempata na umemuumiza! Nafikiri huyu ni mjinga fulani anayefikiri kile akiwazacho ndicho kila mtu mwenye akili timamu akiwazacho
Wewe Doto kama ulisha conclude kwamba wana arusha ni wahuni, sasa unataka kuripoti habari za wahuni kwa manufaa ya nani?
2. Umetumia vigezo gani kuwaita wakazi wa arusha ni wahuni?
3. TBC mnajua mnachokifanya, msilalamikie matokeo!
4. Hivi siku ile mliporipoti habari ya Mkapa mkaweka script ya Nassari ilikuwaje Mkakosea? Hali ilikuwaje hapo ofisini kwenu?
5. Hivi baada ya kumwekea majungu TIDO mlidhani mtaweza?
6. Hivi Mnafunga lini kituo chenu? Si nilisikia mnakifunga kwasababu hamna pesa? Mlidhani mkigeuza kuwa kijiwe cha majungu watanzania wataendela kuburuzwa na upuuzi wenu?
Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.
NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.
I did not expect positive reaction hasa kama wanatoa watu waliojificha nyuma ya avatars...lazima mjue kuwa CCM inawachama zaidi ya milioni tano, hatuwezi kuwapuuza eti kwa sababu watu fulani wanajihisi wako sahihi kupita wengine. Wewe umenithibitishia kuwa "Mhuni mmoja wapo"
Waandishi wajinga kama huyu ni janga na hawahitajiki katika tasnia ya habari, kama unaona TBC wanafanya kazi fair, then what a fuss?? Ninyi ndio mnaoharibu uhuru wa habari kwa mwamvuli huohuo wa uhuru wa habari hata mimi ningekuwepo ningewazuia...
Lazima mjue vyovyote vile pamoja na dharau zenu na upendeleo wenu katika kutoa habari za viongozi wa vyama vya ushindani(upinzani) kwamba hao ni News makers wakubwa kabisa kuliko hata wanasiasa milioni kumi wa CCM, ninyi kwanza jifunzeni kutokuwa waosha vinywa wa magamba na pia muoneshe ukomavu wenu katika kutoa habari bila upendeleo ndipo mje kuhoji uvumilivu wa kisiasa mnaoutaka!!
BTW: Mbona siku hizi mmetoa ile namba ya maoni iliyokuwepo wakati mnasoma habari??
Kama ulikerwa na wewe huoni upofu ulionao 'go and eat a coke'
nahisi wewe ndo mkurugenzi wa tbccm kama sijakosea ilakama nimekosea nisahihishe tafadhalipamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu tanzania lakini bara zima la afrika linapokuja suala la uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka shirika la utangazaji tanzania (tbc) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa chadema kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.
Nb: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.
Wewe Kanjanja,I did not expect positive reaction hasa kama wanatoa watu waliojificha nyuma ya avatars...lazima mjue kuwa CCM inawachama zaidi ya milioni tano, hatuwezi kuwapuuza eti kwa sababu watu fulani wanajihisi wako sahihi kupita wengine. Wewe umenithibitishia kuwa "Mhuni mmoja wapo"
Msilaumu kapata uloda wa Gamba huyo.
wewe unaonekana ni mpuuzi wewe unataka kila mtu aiunge mkono chadema kila mtu ana mtazamo wake, na hii ni nchi ya kidemokrasia kila mtu ana uhuru wa kushabikia chama cha siasa anachifikili kina mwelekeo sahihii
Kweli aliyeshiba humsahau mwenye njaa. Watu wa aina ya dotto ndio tutawalaaumu sana nchi yetu ikiingia kwenye machafuko. Hivi unajisikiaje unapokula rushwa ili kufanya jambo linalokandamiza haki ambayo baadae inahatarisha amani ya nchi? Haya bwana hatunabudi kimuomba mungu atuokoe na hayo mabaya mnayotutengenezea kwa ajili ya maslahi yenu binafsi!Kwanza aliyesema ni dhambi kuwa mwanachama wa CCM nani? Ningekuwa CCM wala nisingejikana na kuona haya maana hiyo ni haki yangu ya kikatiba.