Recent content by Halord

  1. H

    Isingekuwa Kujitoa CHADEMA na Kujiunga CCM...

    Waje kwa ruhusa ya nani wakati unajua hawaruhusiwi? - Sent using Jamii Forums mobile app
  2. H

    Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha

    Kama yanafika asubuhi ni vizuri sana. Wale wote watakaokosa usafiri ubungo wataenda steshen kupanda tren watafika asubuhi kwa gharama nafuu
  3. H

    Je, ni sahihi kufuta umoja wa Kabila fulani katika mkoa fulani

    Kama lengo ni hilo kwanini msianzishe hiyo ya makabila mengi kwanza kabla hamjapiga marufuku hii ya wachaga?
  4. H

    Je, ni sahihi kufuta umoja wa Kabila fulani katika mkoa fulani

    Hao walioruhusiwa makabila yao yana kipi kikubwa hadi yaruhusiwe kuanzisha vyama?
  5. H

    Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha

    Mkuu ni masaa 48 kweli au unatishia watu!?
  6. H

    Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

    Akili hua zinaisha chaji saa zingine. Utakuta una mke, michepuko kadhaa na bado una import kutoka Bukoba
  7. H

    Nafuta tairi za pikipiki Honda twister CBX 250

    Habari za mchana wadau. Natafuta tairi za pikipiki aina Honda Twister CBX 250. Nipo Ruvuma na huku hamna hivyo kama kuna mahari zinapatikana hata kama ni used naomba tuwasiliane tufanye biashara. Mbele: 100/80-17 M/C 52S Nyumba:130/70-17 M/C 62S
  8. H

    Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

    Natafuta tairi za Honda Twister CBX 250.
  9. H

    Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

    Pesa za kurudia chaguzi za madiwani na wabunge waliohamia CCM zingetosha kulipa deni la mkulima. Kwanini tusilipe ili kuondoa hii mambo ya kufedheheshana kunakojirudia rudia
  10. H

    Hivi Rais Magufuli anataka kuigeuza Tanzania kuwa mali yake binafsi?

    Wewe utakuwa unampenda kimapenzi raisi wetu. Sisi tunao mpenda kizalendo tunataka kuona akiilinda na kuifuata katiba yetu pendwa ya Jamhuri ya Muungano
  11. H

    Nini kimekuza deni la Taifa kwa trilioni 20 kutoka 2015 hadi 2019?

    Kwahiyo kumbe wewe unajua kuna pesa za ndani ambazo ni pamona na mikopo tunayokopa nje na misaada toka kwa wazungu sio? Pole!
  12. H

    Nini kimekuza deni la Taifa kwa trilioni 20 kutoka 2015 hadi 2019?

    Kumbe ndio maana Chato imekuwa na maendeleo sasa kwakua mwenyekiti wa sasa ni wa Chato!
  13. H

    Ku-renew laini ya simu Tanzania ni shida tupu

    Polisi lazima uende kuthibitisha kama kweli wewe ndiye mhusika kwa kupeleka kitambulisho chako. Wakikuona na kuangalia kitambulisho chako wanathibutisha ndio utaweza kuipakua loss report yako
  14. H

    Baba mkwe, mahari hii imenishinda

    USILOLIJUA NI USIKU WA GIZA. Kulipa mahari yote kwa wachaga ni dharau. Hiyo 5m waliyokutajia wanajua kabisa wewe huwezi kuilipa. Pia hata hiyo ya chakula uliyotoa ungesema hauna siku ingepita. Kwa ushauri wangu kama huyo mwanamke unampenda kubali deni lipa unapoweza utapata baraka za wazazi na...
Back
Top Bottom