Ku-renew laini ya simu Tanzania ni shida tupu

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,701
45,035
Yaani hii nchi imekuwa ya hovyo sana. Ku-renew laini ya simu mchakato ni mrefu na sumbufu haswa.

Licha ya kuwa Police Loss form ipo online, lakini lazma uwende polisi ukathibitishe malipo na hapo ndipo kirambasi kilipo. Ukienda polisi utazungushwa haswa, mara uambiwe mtoa huduma hayupo, mara una sh. ngapi tukusaidie? Yaani ni shida tupu

Kwasasa ni nafuu sana kuapply passport na ukaipata bila wasiwasi kuliko ku-renew laini ya simu.

Nawasilisha.
 
Yaani hii nchi imekuwa ya hovyo sana. Ku-renew laini ya simu mchakato ni mrefu na sumbufu haswa.

Licha ya kuwa Police Loss form ipo online, lakini lazma uwende polisi ukathibitishe malipo na hapo ndipo kirambasi kilipo. Ukienda polisi utazungushwa haswa, mara uambiwe mtoa huduma hayupo, mara una sh. ngapi tukusaidie? Yaani ni shida tupu

Kwasasa ni nafuu sana kuapply passport na ukaipata bila wasiwasi kuliko ku-renew laini ya simu.

Nawasilisha.
Kupata loss report online ni lazima unakuwa umeshalipia 500 yao kwa mpesa,tigopesa n.k

Na ukishalipa ukaipata sidhani kama kuna kwenda tena police kuthibitisha malipo
 
Kupata loss report online ni lazima unakuwa umeshalipia 500 yao kwa mpesa,tigopesa n.k

Na ukishalipa ukaipata sidhani kama kuna kwenda tena police kuthibitisha malipo
Check
IMG_20191004_095112.jpeg
 
Yaani hii nchi imekuwa ya hovyo sana. Ku-renew laini ya simu mchakato ni mrefu na sumbufu haswa.

Licha ya kuwa Police Loss form ipo online, lakini lazma uwende polisi ukathibitishe malipo na hapo ndipo kirambasi kilipo. Ukienda polisi utazungushwa haswa, mara uambiwe mtoa huduma hayupo, mara una sh. ngapi tukusaidie? Yaani ni shida tupu

Kwasasa ni nafuu sana kuapply passport na ukaipata bila wasiwasi kuliko ku-renew laini ya simu.

Nawasilisha.
Acha kabisa, juzi nimeenda kurenew line baada ya kupoteza simu, sina hamu. Nilidhani kusajiri kwa alama za vidole na kitambulisho cha nida itaondoa huu usumbufu kumbe hakuna lolote la maana
 
Yaani hii nchi imekuwa ya hovyo sana. Ku-renew laini ya simu mchakato ni mrefu na sumbufu haswa.

Licha ya kuwa Police Loss form ipo online, lakini lazma uwende polisi ukathibitishe malipo na hapo ndipo kirambasi kilipo. Ukienda polisi utazungushwa haswa, mara uambiwe mtoa huduma hayupo, mara una sh. ngapi tukusaidie? Yaani ni shida tupu

Kwasasa ni nafuu sana kuapply passport na ukaipata bila wasiwasi kuliko ku-renew laini ya simu.

Nawasilisha.
Hii ndio Tz. Wewe umecheck kwenye line tu? Kila mahala utakapogusa hii nchi pameoza,swala lako kama ndio linaangukia Polisi,TRA umekwisha. Hili linchi,ikitokea wajaribishe,iitishwe kura ya wangapi wanasema tuiuze nchi na wangapi wanasema tusiuze. Kama walikuwa wanajaribisha watashangaa matokeo yatakavyokuwa
 
Ipo hii? Unafanyaje?
Ingia hapo sajili ulicho/ulivyo poteza, watakutumia control namba kwenye simu yako utakayowapa kisha unalipia kwa mpesa n.k. Ukishalipa utarudi tena kwenye hiyo website yao baada ya kama lisaa hivi utaingiza ile control namba na namba ya kitambulisho chako ambacho utakuwa umewapa wakati wa kujisajili. Halafu utaona wanakwambia downloaf report yako. Mchezo umekwisha

Loss report unaipata hapa👇👇

 
Kupata loss report online ni lazima unakuwa umeshalipia 500 yao kwa mpesa,tigopesa n.k

Na ukishalipa ukaipata sidhani kama kuna kwenda tena police kuthibitisha malipo
sasa usipoenda polisi utapataje iyo form ya loss report, au ukilipia inatoka humohumo kwenye simu pia ili ukaimbatanishe na form ya tigo au voda etc.
 
sasa usipoenda polisi utapataje iyo form ya loss report, au ukilipia inatoka humohumo kwenye simu pia ili ukaimbatanishe na form ya tigo au voda etc.
Unaprint . Unarudi kwenye hiyo web kuna maelekezo unaingiza control no uliyolipia na namba ya ID report inakuja unaprint. Huwezi kuprint bila kuweka hizo details
 
Hii ndio Tz. Wewe umecheck kwenye line tu? Kila mahala utakapogusa hii nchi pameoza,swala lako kama ndio linaangukia Polisi,TRA umekwisha. Hili linchi,ikitokea wajaribishe,iitishwe kura ya wangapi wanasema tuiuze nchi na wangapi wanasema tusiuze. Kama walikuwa wanajaribisha watashangaa matokeo yatakavyokuwa
Umeongea kwa uchungu mkuu japo kuna wakuu wakija wataona kama unazingua ila nimekuelewa sana.

TRA, Polisi ni kama wanajiona wapo peponi hivi. Nchi imeoza hii...
 
Back
Top Bottom