Hivi kweli mapenzi ni ugonjwa kama ni ugonjwa kwanini watafiti wasitafutie dawa? Kila sehemu siku hizi ukimkuta msichana ama mvulana akizungumzia mapenzi basi lazima yawe mapenzi yenye maumivu.
Je haya mapenzi nini hasa? Karibuni tujadiliane
Mfano unakuta unaoa kwa sabb la umri kwenda, ama imetokea sabb mimba ama shinikizo la wazazi jamaa na ndugu hapo lazima kuchokana mapema tu maana maamuzi yatayokuja ni kwa sabb ya hivyo vitu. Siku uje ukutane na ambae ndio chaguo lako lazima mifarakano ianze.
Siku hizi ni kama fashion ama sielewi,
MALEZI ya mtoto kwa baba na mama kulelewa pamoja hamna. Nimechunguza nikaona sabb kubwa ni ndoa kutokudumu.
Swali langu, nini kifanyike watoto wetu wapate malezi ya pande mbili (baba na mama ) kwa ukaribu na upendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.