halfankp_sniper
Member
- Mar 21, 2015
- 17
- 3
Ni kwa nini ndoa nyingi za siku hizi haswa vijana hazidumu? je nini tatizo na kipi kifanyike ili kujenga uimara na mahusiano mazuri kuzuia hili swala.
Sio tunaingia katika ndoa kwa sababu ya kitu