Mim stak kuamin kama kijana wa sasa anaweza kuuza shahada yake kama walivyofanya vijana wa Igunga hii imenifanya niwaone ni maskin wa akil na kila kitu ambapo wanaweza kuuza hata wake zao.
Yap ni kwel nimeona pc za igung kwenye mkutano wa cdm ni nyomi ya kufa m2 na nina rafk yangu ambaye ameenda huko imebd nimcal akanithbtishia hlo. Yote tisa kumi je wana kad za kupiga kura? Na je watajitokeza kupiga kura?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.