Regina Mwaleko wa clouds FM alikuwa akiripoti live kutoka Igunga na amesema kwamba mkutano wa CDM umejaa watu wengi sana na kupelekea CCM na CUF kukosa watu kwenye mikutano yao. Hivi sasa makamanda wanajitambulisha na kuhimiza wananchi wa Igunga kujitokeza kwa wingi kesho kupiga kura. Mungu ibariki CDM, Mungu ibariki Tanzania
mkuu naona ilo swali lako c mahali pake kaulizie kulekule ntakujibu,ila ukweli ni kuwa kafumu anaenda bungeni kesho tena kwa kishindo cdm subiri nafasi ya tatu igunga sio kilimanjaro!Umepata dawa ya kuacha kupiga puri kijana?
mkuu naona ilo swali lako c mahali pake kaulizie kulekule ntakujibu,ila ukweli ni kuwa kafumu anaenda bungeni kesho tena kwa kishindo cdm subiri nafasi ya tatu igunga sio kilimanjaro!
Kumbe unajua mmekata tamaa? Mtapangaje mikakati ya ushindi? Ni kweli asilimia kubwa ni vijana wa kijiweni hawana shughuli.Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.
natumai CCM hawatachakachua
Kumbe unajua mmekata tamaa? Mtapangaje mikakati ya ushindi? Ni kweli asilimia kubwa ni vijana wa kijiweni hawana shughuli.