Nakubaliana na suala la kuheshimu haki ya Mtu kuabudu. Hivi ndio kusema Nigeria kwake ndio kanisa la karibu?ili suhala tulichukulia kwa angle zote yaani 3D
huyo ni binadamu mwetu kuna yanayomsibu sio muda wote ni siasa jamaa
mpeni break, hata kama kesho anania ya kurudisha au kukiri alichotuibia kwa mtindo huu tuna mpiga ngwala
tuheshima maisha yake binafsi wandugu
Heri mwenzetu amejua makosa yake na hatimaye Kurudi kundini ,Maana imeandikwa wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza.
Yote tisa kumi ni kufanya mema kwa wanadam wenzio siyo unafanya noma kwa watu alafu unasema mimi ninamtukuza Mungu that is nothing maisha ni hapa hapa loh
Wakati muda huu Watanzania wenzetu wakipiga kura zao kumchagua Mbunge mpya jimbo la Igunga; Mhe. Edward Lowassa yuko ndani ya Synagogue Church of All Nations (SCOAN) Kwa TB Joshua, jijini Lagos Nigeria muda huu.
Source: Emmanuel TV, Sunday Live Service.
Na mesasge ya TB Joshua leo ni "Overcome your Doubt"
Wanajanvi Mh. E Lowassa ameonekana leo live channel Emmanuel ya dini ya nigeria kwa mchungaji joshua na walinzi wake pia akiombewa ili gamba limpitiea mbali na aweze kugombea urais 2015 kwa tiketi ya ccm.
Nawakilisha.
Si alishapata dozi yake huyu au haikutosha?
Atautafuta sana urais but hatapata.
Makanisa kibao Tanzania anafuata nguvu gani huko?
that place is awesome my wife was there last sunday, wadau nawaambieni ile ni arena of liberty hakuna kinachoshindikana pale kwa jina la YESU, tayari nna testimony kibao za kushea. wife alikuwa na vidonda vya tumbo vinamkamata mpaka anapanda dirishani low pressure, ile kukanyaga tu pale hakusikia chochote mpaka wali wa ki nigeria wenye pilipili kibao alikuwa anakula sasa hivi hakuna cha low pressure wala ulcers kwishney. glory be to lord JESUS