Mbona Ridhiwani kakosekana - jamaa anaona noma kumweka mwanae - anaishia kuwaweka watoto wa maswahiba! Au ndio ahadi ya uwaziri aliyoitoa kwa Januari! Kweli gamba limevuka (makambo mkubwa to makamba mdogo) - lakini mtoto wa nyoka ni nyoka mbona?
Inawezekana pia ni strategy ya management kutaka kubaki madarakani - kwa sababu waliowateua wataona ni afadhali wawaache ili wamatekeleze miradi yao waliyoianzisha! Na wataendelea kubuni miradi kama hiyo mpaka sijui lini?
Indeed, something is very wrong! The impression I get is that wamewalewesha wanaotakiwa kuwasimamia (the government/politicians) na sasa wanafanya wanachokitaka na serikali inawaona kama wakombozi wao! It is quite unimaginable kwa nchi yenye uncertain investment environment kama Tanzania kwa...
I hope Anna Makinda atasema kitu in defence ya Lema juu ya hili! Naamini kabisa Sitta pamoja na UuCCM wake angefyatuka. Tukikubali wabunge wawe wanapigwa.....!
Mkandara,
Sijasema mtu asipotaka urais anakuwa hafai kuwa rais - inawezekana hataki kugombea kwa sababu anajua hatashinda ndani ya system ya wizi kama hii - so why waste time kutangaza kuugombea! Pia inawezekana hataki kugombea kwa sababu anaona kuna anayefaa zaidi yake nk. Hata wewe Mkandara...
Zitto anahaki ya kutangaza nia ya kugombea chochote na sisi wananchi wa kawaida pia tuna haki ya kutoa maoni juu ya kufaa kwake kwa nafasi yake. Mimi nasema Zitto hafai kwa nafasi ya KUB kwa sasa hasa nikizingatia yaliyotokea mwaka jana tu! Aligombana sana na vijana wenzake huko chadema na hata...
Dr. Slaa kura yangu na weengi niliowashawishi kesho utazipata - ushindi wako ni ushindi wetu wapenda nchi. Usishangae kuwa wengine tupo concerned zaidi hata ya wewe na uchaguzi huu. Tuendelee kuhamasisha na tupo pamoja.
Ningekuwa mwandishi - haya ya akina Sumaye na akina mrema yasingepata nafasi kwenye magazeti yangu!
By the way - wangemuuliza Havard alisomeshwa na nani?- Serikali au yeye mwenyewe! You would be surprised!
I wish this were a true 'dream'.
Ngoja wagawanyike ili tuone bwana mkubwa kama safari za nje bado zitakuwepo! The timing ya kugawanyika nayo ni muhimu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.