Haki.tupu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 254
- 3
NImeanza kuangalia hapa (ndani ya siku hizi chache zilizopita) na ninaanza kuona tatizo mahali fulani; japo kwa juu inaonekana vizuri sana lakini naanza kuhofia na ninashindwa kuelewa kwanini NSSF inawekeza fedha za wafanyakazi wake kwenye miradi hii mikubwa ya Umeme, Ujenzi wa Madaraja na sasa Ujenzi wa Barabara.
Kuna kitu hakiko sahihi; nia yaweza kuwa nzuri lakini kuna kitu hakiko sahihi... sijui ni kitu gani bado.. lakini something is very very wrong somewhere..
Indeed, something is very wrong! The impression I get is that wamewalewesha wanaotakiwa kuwasimamia (the government/politicians) na sasa wanafanya wanachokitaka na serikali inawaona kama wakombozi wao! It is quite unimaginable kwa nchi yenye uncertain investment environment kama Tanzania kwa pension fund kutapanya hela za watu maskini kiasi hiki! I have always said hizi funds ziwe chini ya members wenyewe (na si regulatory authority) ili members wawe na uwezo wa moja kwa moja wa kuwahoji Boards & Management decisions kama ambavyo inafanyika kwenye limited liability companies! Nina shaka sana na liquidity ya investment za pension funds Tanzania, ukiachia mbali profitability (in real terms). Wanaoperate katika mazingira ambayo hakuna accuntability ya kweli kwa sababu: (1) Wasimamizi si competent - wamejaa siasa tu na hawana ujasiri (expertise wise) wa kuhoji investment decisions za pension funds - ukizingatia ni very appealing kwa wanasiasa wakubwa! (2) Tanzania hatuna comprehensive investment performance benchmarks - kwa hiyo kupima inefficiency ya investment managers si rahisi kwa mtu wa kawaida! Pamoja na hayo instincts bado zinatuambia something is very wrong somewhere! Ukisoma reports zao unabaki na maswali mengi sana - sijui hata hizo kamati za bunge kwa nini wameingia kwenye mtego wa kuwasifu tu hao wakubwa wa pension funds kwa kujiingiza kwenye investment in infrastructure nk. eti kwa sababu tu pension funds za Asia zinafanya hivyo! Wamesahau kuwa TZ is the poorest of the poorest!