Mimi ni mkazi wa Boko mnemela njia panda ya mpiji kiukweli tunapata tabu sana kuhusu swala la maji tushatoa 5,000 zetu na kupewa form kuwa Dawasa survey atakuja yapata mwaka sasa hakuna aliyepita tunakaa na form mpaka zinapauka hebu fanyeni utaratibu mtuunganishie maji maana mara ya kwanza...
Maoni yangu kwanza muwe na ratiba ya vipindi maana unaweza ukakaa wiki nzima kipindi hiko hiko sasa cjui mna kwama wapi kingine ubora wa picha bado poor kabisa wakati mna vifaa vya kisasa au kama mnashindwa kuvitumia iteni wataalam wawapige msasa mna gari zuri la kurushia matangazo ila...
Kabisa jana tu nilikuwa nafanya service za air conditioning kwa mchina yaani malipo ya kifala kweli yaani kila air conditioning moja 10,000 tukafanya nne tukasepa akatoa kazi ya service ya water dispenser kwa 3,000 kila moja tukaona upuuzi tukaachana nao kabisa
Mimi nlibahatika kwenda walivyotangaza kazi zilipitia kwa Mkuu wa wilaya kibiti na malipo ni 12,000 per day na hailipwi cash inalipwa via bank maana walisema kama hauna account ya bank huwezi kulipwa
Kutana na mafundi bora wa friji,a/c za magari,a/c za majumba pamoja na umeme kazi zetu ni uhakika bila shaka tunafika popote ulipo tuwasiliane kwa namba 0713230547(Haji)au 0717227054(Victor)
Hao Halotel ni wezi wakubwa mimi sh.500 wananipa Mb 350 za kuperuzi huku Mb 150 wananipa za YouTube sasa najiuliza why wakate Mb zangu kwa ajili ya YouTube? Huu ni wizi wazi wazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.