Diamond platnumz unatuharibia mahusiano

Diamond platnumz unatuharibia mahusiano

Mkuu mm siigi mbona nimejiandaa na unawezo wangu kasimu tu ila diamond ndo anawafany wadada huku nao wawaze mandinga.
Hapo kwa wadada futa we andika umepata mwanamke mdangaji usijumlishe wote kingine siamini hii mada yako ni uwongo.
 
Unajishtukia2 mkuu kwani amekwambia anataka gariii
 
Mi sijawahi ona umuhimu wa birthday.Wazungu wanatumaliza hela hawa.daa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom