CHIEF MGALULA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,190
- 889
Hata mimi hivyo hivyo.......tayari mkuu tumeliwa
Mkuu kweli huu ni wiziHata mimi hivyo hivyo.......tayari mkuu tumeliwa
Hata mimimimi napewa 1GB kwa Tsh 1000 kwa wiki, halotel daima.
Bado hawajarudisha mkuuWamerudisha vifurishi hawa majamaa au weekend IT wao wapo Kidimbwi?